Makamu wa Rais wa Tanzania, Philip Mpango akiwa kwenye foleni ya kupiga kura katika Kijiji cha Kasumo, Kata ya Kajana, wilayani Buhigwe leo Novemba 27,2024 akiwa ameambatana na mkewe Mbonimpaye Mpango.
Kupoteza kodi tu
Makamu wa Rais akitoka Dodoma mpaka Kigoma kwenda kupiga kura na kisha kurudi Dodoma au Dar ni zaidi ya milioni 100 zinatumika.
Huu ni ushenzi