LGE2024 Kigoma: Makamu wa Rais Dkt. Mpango na mkewe kwenye foleni kupiga kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mkwewe??

Na kwenye kiini Cha habari ni mkewe mkuu kuwa serious bwana!

Naona wazee wa tiisi 😅hawapo mbali
 
Kupoteza kodi tu
Makamu wa Rais akitoka Dodoma mpaka Kigoma kwenda kupiga kura na kisha kurudi Dodoma au Dar ni zaidi ya milioni 100 zinatumika.
Huu ni ushenzi
 
toa neno mkwe ,pia twambie akipiga kura wapi kigoma au dodoma
 
kwahiyo hatupigi kura tena shule ya msingi bunge na olympio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…