LGE2024 KIGOMA: Matukio Yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024

LGE2024 KIGOMA: Matukio Yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

WanaJF,​

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Kigoma. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kushiriki na wengine.

Kigomaa.jpg


Kigoma ni mkoa uliopo magharibi mwa Tanzania, ukipakana na nchi za Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa upande wa magharibi na kaskazini. Mkoa huu unajulikana kwa ziwa la Tanganyika, ambalo ni moja ya maziwa marefu zaidi duniani.

MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA KIGOMA
Katika muhtasari wa maeneo ya utawala, mkoa huu una halmashauri ambazo zimegawanyika katika mamlaka za miji na wilaya.

Kigoma.png


Idadi ya Watu
Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, Mkoa wa Kigoma uliandikisha idadi ya watu wapatao 2,470,967

SOMA PIA


Mkoa wa Kigoma una jumla ya Wilaya Tano
  • Wilaya ya Kigoma
  • Wilaya ya Kasulu
  • Wilaya ya Buhigwe
  • Wilaya ya Uvinza
  • Wilaya ya Kakonko

Idadi ya Majimbo ya Mkoa wa Kigoma
Mkoa wa Kigoma una majimbo Nane ya uchaguzi
  • Buyungu
  • Kasulu Mjini
  • Kasulu Vijijini
  • Kigoma Kaskazini
  • Kigoma Kusini/Uvinza
  • Kigoma Mjini
  • Manyovu
  • Muhambwe
 
Viunganishi vinavyohusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 mkoa wa Kigoma

 
Makamu wa Rais Dkt. Mpango akiwa na mkewe wamejiandikisha katika daftari la uchaguzi wa Serikali za Mitaa


 

WanaJF,​

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Kigoma. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kushiriki na wengine.

View attachment 3111105

Kigoma ni mkoa uliopo magharibi mwa Tanzania, ukipakana na nchi za Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa upande wa magharibi na kaskazini. Mkoa huu unajulikana kwa ziwa la Tanganyika, ambalo ni moja ya maziwa marefu zaidi duniani.

MUHTASARI WA MAENEO YA UTAWALA, MKOA WA KIGOMA
Katika muhtasari wa maeneo ya utawala, mkoa huu una halmashauri ambazo zimegawanyika katika mamlaka za miji na wilaya.

View attachment 3111109

Idadi ya Watu
Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, Mkoa wa Kigoma uliandikisha idadi ya watu wapatao 2,470,967

SOMA PIA


Mkoa wa Kigoma una jumla ya Wilaya Tano
  • Wilaya ya Kigoma
  • Wilaya ya Kasulu
  • Wilaya ya Buhigwe
  • Wilaya ya Uvinza
  • Wilaya ya Kakonko

Idadi ya Majimbo ya Mkoa wa Kigoma
Mkoa wa Kigoma una majimbo Nane ya uchaguzi
  • Buyungu
  • Kasulu Mjini
  • Kasulu Vijijini
  • Kigoma Kaskazini
  • Kigoma Kusini/Uvinza
  • Kigoma Mjini
  • Manyovu
  • Muhambwe
Kigoma hawaja dissapoint, wameanza mauzauza mapemaaaa :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: mpaka jioni badamu batachuruzika
 
Back
Top Bottom