Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Ingia hapa kupata matukio yote ya uchaguzi wa serikali za mitaa ingia hapa:
www.jamiiforums.com
Anayedaiwa kuwa mgombea katika kitongoji cha Mgera B, kata ya Mwandiga mkoani Kigoma amekamatwa alfajiri ya leo akiwa na kura ambazo zimeonekana kuwa na muhuri wa Tume ya Uchaguzi.
LGE2024 - Special Thread: Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wakuu, Ili kuzifikia nyuzi hizi kirahisi, hapa utapata orodha yote ya mikoa inayoshiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, ambamo ndani yake utapata links za matukio yote yanayojiri katika mikoa husika, mpaka kufikia kwenye matokeo ya uchaguzi huo. ==== Mwaka huu 2024 Tanzania Bara...
Anayedaiwa kuwa mgombea katika kitongoji cha Mgera B, kata ya Mwandiga mkoani Kigoma amekamatwa alfajiri ya leo akiwa na kura ambazo zimeonekana kuwa na muhuri wa Tume ya Uchaguzi.