Unaisema Vibaya DubaiKigoma nasikia kuna vumbi sana mkuu vipi mnaishije huko?
Kigoma Ni DubaiHivi watu was kigoma wanaishije? Naona Kama wanapata mateso saana.
Hizi view si zakitoto hapo unajenga caffee fulani hivi watu wanaangalia view safi sana.
Dah! Mkuu natamani ningekuwa hapo ningekutembeza kona zote, japokuwa na muda sijafika huko lakini ni mwenyeji sana hadi usafiri tungepata wa bure kabisaNipo Kigoma mjini kikazi kwa wiki moja,
Naomba kufahamu ni wapi panafaa kuosha macho wakuu.
Pawe sehemu tulivu na iliyostaarabika na pa kupakuosha macho..
Hahaha najua nimeeleweka.
@
................MREJESHO............
Kigoma mjini miundo mbinu mizuri sana, lami sehemu zote muhimu
Mandhari ya mji ni nzuri, vilima na beaches tamu sana.
Mji una utulivu hauna pilika nyingi.
Kwa ujumla nimeufurahia mji hasa Kidiama beach.
View attachment 1891519View attachment 1891520View attachment 1891521View attachment 1891522View attachment 1891523View attachment 1891524
Huijui Kigoma wewe, Bulombola porini huko bilashaka ulienda kwa mujibuSizani kigoma kuna sehemu ya kuitwa mjini.........anyway nenda pale bulombola
Bado sana ukilinganisha na wapi?Daah Kigoma bado sana yaani
tayarihabari naomba kura yako mkuu fungua link hii Story of Change - Ondoa hofu, anza sasa kuthubutu
Kwanini?My man is there ila siwazi kwenda yaani
Mamaa wa Kigoma sio?Leka dutigiteeeeeeeee!!!
Fursa hiiNtakupa namba ya mdada mmoja kama u nataka kutembezwa na kuosha miguu kabisa.
@nnauje mcheki huyuNtakupa namba ya mdada mmoja kama u nataka kutembezwa na kuosha miguu kabisa.