Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Dah huwezi waona chawa wote hapaWakati wahusika wakikazana kusifia na kugeuka chawa wa viongozi, Hapa ni Jimbo la Kigoma kusini wilaya ya Uvinza kata ya Basanza Mkoani Kigoma katika zahanati ya serikali Huyo ni raia mlipa Kodi mwanamke akitetea uhai wake yeye na mwanae baada ya jifungua zahanati.
terrible!Wakati wahusika wakikazana kusifia na kugeuka chawa wa viongozi, Hapa ni Jimbo la Kigoma kusini wilaya ya Uvinza kata ya Basanza Mkoani Kigoma katika zahanati ya serikali, huyo ni raia mlipa Kodi akitetea uhai wake pamoja na mwanaye baada ya kujifungua Zahanati bila kupata msaada wowote.
View attachment 3017674
johnthebaptist leta uchawa wako basi na hapaWakati wahusika wakikazana kusifia na kugeuka chawa wa viongozi, Hapa ni Jimbo la Kigoma kusini wilaya ya Uvinza kata ya Basanza Mkoani Kigoma katika zahanati ya serikali, huyo ni raia mlipa Kodi akitetea uhai wake pamoja na mwanaye baada ya kujifungua Zahanati bila kupata msaada wowote.
View attachment 3017674
Huyo jamaa ni akili kubwa siku hizi, uchawa alimuachia Etwege na Lucas Mwashambwajohnthebaptist leta uchawa wako basi na hapa
Hapo napo utaambiwa mama anaupiga mwingi enzi za Anko nilikuwa sisikii mambo kama hayaWakati wahusika wakikazana kusifia na kugeuka chawa wa viongozi, Hapa ni Jimbo la Kigoma kusini wilaya ya Uvinza kata ya Basanza Mkoani Kigoma katika zahanati ya serikali, huyo ni raia mlipa Kodi akitetea uhai wake pamoja na mwanaye baada ya kujifungua Zahanati bila kupata msaada wowote.
View attachment 3017674
Kwa kusema ukweli mzito watachukuliwa hatua😁😁😁Mpiga picha na mtoa taarifa jiandaeni.
Sana love.