Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Kupata taarifa na matukio yote kuhusu uchaguzi serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Dar es Salaam: Matukio yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Majeruhi Amelazwa Hospitali ya Wilaya ya Kibondo akiendelea kupatiwa matibabu, upelezi wa tukio hili unaendelea.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma linaendelea kuwaomba wananchi kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kuzuia na kubaini uhalifu na wahalifu kwa lengo la kuimarisha usalama wa raia na mali zao.
Imetolewa na:
Filemon K. Makungu - SACP
Kamanda wa Polisi
Mkoa wa Kigoma
PIA SOMA
- Kigoma: Onesmo, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Muyaga(CHADEMA) aokotwa akiwa hajitambui baada ya kutupwa
TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma linafanya uchunguzi wa tukio la Onesmo Simon, miaka 40, askari wa Kampuni binafsi ya ulinzi Kiwango Security na Mwenyekiti wa kitongoji cha Muyaga "C", Kata ya Kitahana, Wilaya ya Kibondo kukutwa akiwa hajitambui amelala kando ya barabara ya Kibondo - Kasulu akiwa na michubuko usoni pamoja na puani.Kupata taarifa na matukio yote kuhusu uchaguzi serikali za mitaa ingia hapa: LGE2024 - Dar es Salaam: Matukio yaliyojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 27, 2024
Majeruhi Amelazwa Hospitali ya Wilaya ya Kibondo akiendelea kupatiwa matibabu, upelezi wa tukio hili unaendelea.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma linaendelea kuwaomba wananchi kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kuzuia na kubaini uhalifu na wahalifu kwa lengo la kuimarisha usalama wa raia na mali zao.
Imetolewa na:
Filemon K. Makungu - SACP
Kamanda wa Polisi
Mkoa wa Kigoma
PIA SOMA
- Kigoma: Onesmo, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Muyaga(CHADEMA) aokotwa akiwa hajitambui baada ya kutupwa