LGE2024 Kigoma: Vijana wawekwa chini ya ulinzi kwa wizi wa kura baada ya polisi kuingilia kati

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000

Wakuu,​


Uchaguzi huu umekuwa disaster! Mkuu utakuaje kwa trela hili?

Pia soma: LGE2024 - Kigoma: Wananchi wafanya vurugu kituo cha kupiga kura




Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Vijana wakiwa wamewekwa chini ya ulinzi wa Polisi baada ya kuleta fujo kwenye zoezi la upigaji kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, wakituhumiana kuhusu uwepo wa kura feki katika kituo cha shule ya msingi Kibirizi, mjini Kigoma leo.
 

Attachments

  • Screenshot_20241127_173034_Instagram.jpg
    350.2 KB · Views: 6
Hongera sana jeshi la polisi kulinda amani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…