Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 593
- 1,376
Salam,
Wakati zoezi la uchaguzi wa Serikali za mitaa likiwa linaendelea, kumeshuhudiwa vurugu katika kituo cha Shule ya Msingi Kibirizi, Manispaa ya Kigoma Ujiji hali iliyopelekea Jeshi la polisi kufika na kutuliza ghasia hiyo.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Baada ya kushuhudia vurugu hizo, tumezungumza na baadhi ya wananchi waliokuwa mashuhuda ambapo wamesema ni kutokana na mvutano wa uhasimu wa vyama baina yao kwa kila mmoja kuvutia upande wake kwa kutaka kuona hakuna udanganyifu wowote wa kura unafanyika kituoni.
Wakati zoezi la uchaguzi wa Serikali za mitaa likiwa linaendelea, kumeshuhudiwa vurugu katika kituo cha Shule ya Msingi Kibirizi, Manispaa ya Kigoma Ujiji hali iliyopelekea Jeshi la polisi kufika na kutuliza ghasia hiyo.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Baada ya kushuhudia vurugu hizo, tumezungumza na baadhi ya wananchi waliokuwa mashuhuda ambapo wamesema ni kutokana na mvutano wa uhasimu wa vyama baina yao kwa kila mmoja kuvutia upande wake kwa kutaka kuona hakuna udanganyifu wowote wa kura unafanyika kituoni.