Ule wimbo wa Wagosi wa Kaya (Tanga kuna nini)ni mfano mzuri wa maelezo yako...Naijua Tanga vizuri sana. Tanga ya miaka 60 na 70 siyo Tanga ya leo imerudi nyuma sana kimaendeleo maana wakuu wameamua kuitelekeza.
Kamanda, umewakusudia nini wazenj?Anyway msikwazike na maneno haya si ndio majibu tunayowapa Wazanzibari wakilalamika?
Kamanda, umewakusudia nini wazenj?
Tungekuwa makini kujenga daraja la mto Malagalasi tungeweza kushindana na Kenya kuwin biashara na Nchi za Maziwa Makuu. Isaka, bandari ya nchi kavu, ilitegemewa sana kuunganisha mizigo kwenda nchi hizo; nayo pia imedoda. Hakuna nchi ya Maziwa makuu yenye hamu ya kupitisha mzigo wake Tanzania kutokana na miundombinu mibovu inayoelekea mji wa Kigoma. Tulipaswa kuliona hili mapema,lakini hatujachelewa kufuatia vurugu za Kenya (eenh, waswahili usema kufa kufaana)!Umuhimu wa mkoa wa Kigoma (mkoa wa mpakani) haujulikani kwa serikali mpaka mbunge wa Kigoma aseme? miaka yote hii toka uhuru hakuna mtu serikalini anajua hili?
Kwa aina hii ya usafiri wa reli huko India sidhani kama watafanya lolote jipya hapa kwetu.
Mkwamo wa ujenzi wa hili daraja pengine Zitto (na waKGM wengine) wanaweza kutuambia mengi yaliyofichika.3. Jawabu kudumu ni kujenga daraja Malagarasi- na barabara lami na kuwa na usafiri wa uhakika wa barabara- haya ndo mambo ya kutetea kwa nguvu na Wanakigoma kuondoa shilingi ktk budgeti! Ahadi tu za serikali kila siku over daraja na barabara- sasa 46 years! Hamna kitu!
Sasa kama Kigoma wanachagua wabunge wanaotetea mambo ya Kitaifa kama Bugwazi na Zitto kwa nini wanashindwa kutetea infrustructure ya Kigoma?