Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amedai katika uchaguzi uliofanyika wa Serikali za Mitaa Vijiji na Vitongoji kulikuwa na kura nyingi za bandia katika maeneo mbalimbali nchini jambo ambalo lilikuwa dalili ya kufanyika kwa ubadhirifu katika chaguzi huo.
Zitto ameyasema hayo wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara na wafuasi wa chama hicho pamoja na wananchi wa Kigoma waliojitokeza kumsikiliza jana Novemba 29, katika Uwanja wa Kawawa, uliopo Ujiji Kigoma.
“tumekamata watu wnegi sana tumeweza kudhibiti watu wengi sana vijana wamefanya kazi nzuri sana tuliweza kudhibiti vizuri sana kura nyingi zimekanatwa mtaani” amesema Zitto
PIA SOMA
- LGE2024 - Kigoma: Zitto Kabwe aonya wizi wa kura, atoa rai Wananchi kuzilinda
- LGE2024 - Kigoma: ACT Wazalendo kufungua kesi kuwashtaki Wasimamizi wa Uchaguzi