Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Unakumbuka sakata la mrembo Jacqueline Obeid a.k.a Poshy Queen na Hamisi Kigwangala?
Sasa Mwanasiasa Hamisi Kigwangala amezungumzia tuhuma zilizomwandama kuhusu mrembo Poshy Queen na pisi kali alizowahi kudaiwa kuzipandisha ndege na kwenda kujivinjari nazo mbugani kipindi ni Waziri wa Maliasili na Utalii. Katika mahojiano, Kigwangala amesisitiza kwamba "Sijawahi kutembea na yule binti, sijawahi kukaa naye meza moja, simjui literally"
Kigwangala alikuwa akieleza maono yake ya Wizara ya Maliasili na Utalii, akisema kuwa wazo la Urithi lilikuwa ni mpango mkubwa wa kuvuna pesa za kigeni kupitia makumbusho Dodoma na kuleta manufaa katika uchumi wa nchi.
"Urithi was a big concept kuliko zile blaa! blaa! Sasa watu wakaanza kusema Kigwangala kapanda na pisi kali kwenye ndege kaenda kutalii nazo. Kigwangala kamchukua Poshy Queen. Sasa ukimuangalia yule binti na umri wa Kigwangala unasema hii itakuwa kweli? Mwamba amepiga hapa. Sijawahi kutembea na yule binti, sijawahi kukaa naye meza moja, simjui literally."
Pia soma Dkt. Kigwangalla: Niliandika barua ya kujiuzulu Uwaziri baada ya kuona mambo hayaendi Wizarani
Sasa Mwanasiasa Hamisi Kigwangala amezungumzia tuhuma zilizomwandama kuhusu mrembo Poshy Queen na pisi kali alizowahi kudaiwa kuzipandisha ndege na kwenda kujivinjari nazo mbugani kipindi ni Waziri wa Maliasili na Utalii. Katika mahojiano, Kigwangala amesisitiza kwamba "Sijawahi kutembea na yule binti, sijawahi kukaa naye meza moja, simjui literally"
Kigwangala alikuwa akieleza maono yake ya Wizara ya Maliasili na Utalii, akisema kuwa wazo la Urithi lilikuwa ni mpango mkubwa wa kuvuna pesa za kigeni kupitia makumbusho Dodoma na kuleta manufaa katika uchumi wa nchi.
"Urithi was a big concept kuliko zile blaa! blaa! Sasa watu wakaanza kusema Kigwangala kapanda na pisi kali kwenye ndege kaenda kutalii nazo. Kigwangala kamchukua Poshy Queen. Sasa ukimuangalia yule binti na umri wa Kigwangala unasema hii itakuwa kweli? Mwamba amepiga hapa. Sijawahi kutembea na yule binti, sijawahi kukaa naye meza moja, simjui literally."
Pia soma Dkt. Kigwangalla: Niliandika barua ya kujiuzulu Uwaziri baada ya kuona mambo hayaendi Wizarani