Elections 2010 Kigwangala akataliwa mbele ya Kikwete - Nzega


.
Hii ni chuki binafsi ya Jk aliyopandikiziwa na mwanae Riz1 kwa msukumo wa Makamba. Ndio maana aliona aibu ya kumpandisha jukwaani kwani angeyala matapishi yake mwenyewe maana ndie aliyetamka ndani ya NEC kuwa Bashee sii raia. Hola hola wana Nzega ikaangeni ccm kwa mafuta yake yenyewe yaliyotiririka kutoka kwenye kinywa cha mwenyekiti wao. Mwonyesheni kwamba nec haina sauti juu ya wananzega. Pia msisahau kumpa Dr Slaa kura zenu zooote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…