kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Ninaona wafuasi wake wengi ni pamoja na hao waliokerwa na kitendo cha Mo kumpa shavu Rais Magufuli pale uwanjani.
Hii chuki ya Kigwa iko juu kiasi kwamba baadhi ya watu tumeanza kuhisi huyu jamaa ana agenda ya siri na siyo hiyo 20B.
Kwani maelezo yanajitosheleza sana kuhusu kwa nini hiyo 20B haijawekwa.
Nikifuatilia akaunti yake ya tweeter,namuona kigwa ni mtu mwenye busara ndogo sana.Labda alifaulu mitihani kwa sababu ya uwezo wa kukumbuka tu(siyo akili maana hata kasuku anao huo uwezo wa kukumbuka sauti ila hana akili hata ya kumfikia mbwa)
Wasomi wawe wanajitafakari na wawe wanatumia mantiki,na siyo kiburi cha vyeti ambavyo mtu anaweza kuvipata hata kwa wizi wa mitihani.Sio kujiona umesoma na unaanza kuwashambulia waliofanikiwa kiuchumi.
Si mara ya kwanza kwa kigwa kushambulia personalities.Aliwahi kumshambulia Dr Mwaka kisa tu,ni yale mafanikio yake katika kazi ya tiba.
Amejichafua sana na naamini wana Simba wa Nzega,anawakwaza pia
Hii chuki ya Kigwa iko juu kiasi kwamba baadhi ya watu tumeanza kuhisi huyu jamaa ana agenda ya siri na siyo hiyo 20B.
Kwani maelezo yanajitosheleza sana kuhusu kwa nini hiyo 20B haijawekwa.
Nikifuatilia akaunti yake ya tweeter,namuona kigwa ni mtu mwenye busara ndogo sana.Labda alifaulu mitihani kwa sababu ya uwezo wa kukumbuka tu(siyo akili maana hata kasuku anao huo uwezo wa kukumbuka sauti ila hana akili hata ya kumfikia mbwa)
Wasomi wawe wanajitafakari na wawe wanatumia mantiki,na siyo kiburi cha vyeti ambavyo mtu anaweza kuvipata hata kwa wizi wa mitihani.Sio kujiona umesoma na unaanza kuwashambulia waliofanikiwa kiuchumi.
Si mara ya kwanza kwa kigwa kushambulia personalities.Aliwahi kumshambulia Dr Mwaka kisa tu,ni yale mafanikio yake katika kazi ya tiba.
Amejichafua sana na naamini wana Simba wa Nzega,anawakwaza pia