Kigwangala anyamaze, ni mchafu wa kutupwa

Kigwangala anyamaze, ni mchafu wa kutupwa

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
20211205_092145.jpg


Kigwangala kwa uchafu wote aliopata kufanya alipo kuwa Waziri hivi anatoa wapi nguvu ya kunyanyua kinywa na kutuhumu ufisadi wa wengine?

Kigwangala ni baadhi ya wachache wasio gerezani kwa kuhurumiwa tu lakini tofauti na hapo ni mtu aliyepaswa awe gerezani kwa makosa ya ufujaji wa pesa za umma kwa mambo yasiyo na tija kwa Taifa.

Magufuli alijizuia sana kumfedhehesha na kumzalilisha kwa tuhuma lukuki zimhusuzo kwa sababu ya usukuma gang wake ajabu leo ananyanyua kinywa bila aibu kujipendekeza kwa Samia.
 
Kwani nani hataki Tonge liende kinywani ? Mkuu hii nchi ngumu sana na inahitaji tena mtu kama Magufuli ila huyo mtu anapaswa kuyaangaliaadhaifu aliyokuwa nayo Mzee na kuboresha zaidi.
Tanzania [emoji1241] Nchi Yangu, Nakuombea yaliyo heri siku zote
 
Wameanza kujikomba komba warudi uongozini. Huwa najiuliza wakishaiba hizo pesa huwa haziwatoshi kuendeleza maisha yao. Mfano biashara hadi watake tena kuiba
 
Halafu mataga watakuja watakwambia Magufuli alichukia rushwa,sasa je haya madudu alikuwa hayaoni? Mbona hakumtumbua? Ufisadi ulitamalaki sana wakati wa Magufuli ila kwa kuwa alilidhibiti bunge,upinzani,wanaharakati na media kwa mkono wa chuma ilikuwa ni vigumu mambo yake ya kifisadi kuanikwa. Na yeye ndo kitu alikipenda kukiona.
 
View attachment 2033392

Kigwangala kwa uchafu wote aliopata kufanya alipo kuwa Waziri hivi anatoa wapi nguvu ya kunyanyua kinywa na kutuhumu ufisadi wa wengine?

Kigwangala ni baadhi ya wachache wasio gerezani kwa kuhurumiwa tu lakini tofauti na hapo ni mtu aliyepaswa awe gerezani kwa makosa ya ufujaji wa pesa za umma kwa mambo yasiyo na tija kwa Taifa.

Magufuli alijizuia sana kumfedhehesha na kumzalilisha kwa tuhuma lukuki zimhusuzo kwa sababu ya usukuma gang wake ajabu leo ananyanyua kinywa bila aibu kujipendekeza kwa Samia.
Aibu kubwa
 
View attachment 2033392

Kigwangala kwa uchafu wote aliopata kufanya alipo kuwa Waziri hivi anatoa wapi nguvu ya kunyanyua kinywa na kutuhumu ufisadi wa wengine?

Kigwangala ni baadhi ya wachache wasio gerezani kwa kuhurumiwa tu lakini tofauti na hapo ni mtu aliyepaswa awe gerezani kwa makosa ya ufujaji wa pesa za umma kwa mambo yasiyo na tija kwa Taifa.

Magufuli alijizuia sana kumfedhehesha na kumzalilisha kwa tuhuma lukuki zimhusuzo kwa sababu ya usukuma gang wake ajabu leo ananyanyua kinywa bila aibu kujipendekeza kwa Samia.
Hawa ndugu hawanaga rafiki wala adui wakudumu, yaliyo ya kudumu ni maslahi yao binafsi...Ni wale wale awamu zote chakuchekesha kila awamu wanabadili tu santuri za nyimbo...Pathetic beings!
Watanzania wote wenye dhamira njema tuachane na uchama na ukanda kama CCM ndiyo inamifumo twendeni huko wote tuwaondoe hawa biandamu ambao wanacheza na akili zetu kila awamu

Nalijitolea sana ku inscribe watu wenye weledi bila kujali chama au nini na hao walilipa gharama ya kukaa bila mishahara miezi miwili wakinusurika kufukuzwa kazi; uchaguzi uliopita, tatizo watu wale wale waliwakata kwakisingizio kizuri cha wajumbe, wengine leo wanatambua gharama ya kukosa uaminifu wao....Tutaendelea na hii hali hadi lini?

Tukishajaa wenye kujali maslahi ya taifa hili sehemu yenye nguvu ya kitaasisi, tutafanya mabadiliko sambamba na matamanio ya kila raia aliye na mapenzi mema na nchi hii.

Namshauri mama Samia Rais wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania akubali kuwa "transitional president", kufanikisha haya kama atataka hitoria imkumbuke, hakuna kitu kinaitwa wapinzani wala CCM Tanzania tuna watu ambao wengi wanatumia vyama na nafasi zao kutimiza malengo yao binafsi moja likiwa la kujipatia maisha kupitia migongo ya raia wengi wasio na hatia wala access to information ambazo zinaweza kuwakwamua katika hali duni walizo nazo...Wengi wa hawa wamegeuka kuwa madalali wa kutumia rasilimali za taifa wakishirikiana na mabepari wa dunia hii ambao hawana jema lolote katika mipango yao kwa nchi zinazoendelea...Si kwamba mataifa ya nje yana watu wabaya tu la hasha; bali kama ilivyo kwetu wabaya ndiyo ambao wameshika hatamu na wakati mwingine hawa wa kwetu ndiyo kishawishi kikubwa cha kuwaleta hao wabaya wa upande wa pili washirikiane kuhujumu taifa letu...

Bila kufanya maamuzi magumu tutabadili tu misitu lakini tumbili ni wale wale ambao wana vamia hazina yetu
 
Inji imetafunwa sana hii [emoji848][emoji848][emoji848]
 
View attachment 2033392

Kigwangala kwa uchafu wote aliopata kufanya alipo kuwa Waziri hivi anatoa wapi nguvu ya kunyanyua kinywa na kutuhumu ufisadi wa wengine?

Kigwangala ni baadhi ya wachache wasio gerezani kwa kuhurumiwa tu lakini tofauti na hapo ni mtu aliyepaswa awe gerezani kwa makosa ya ufujaji wa pesa za umma kwa mambo yasiyo na tija kwa Taifa.

Magufuli alijizuia sana kumfedhehesha na kumzalilisha kwa tuhuma lukuki zimhusuzo kwa sababu ya usukuma gang wake ajabu leo ananyanyua kinywa bila aibu kujipendekeza kwa Samia.
Heee!
 
Back
Top Bottom