Kigwangala na Profesa Mkenda kuna kipindi wote walikuwa Wizara moja. Magufuli aliwezaje kuishi nao hawa Mawaziri wawili?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kuna Wakati Dr Kigwangala alikuwa Waziri wa Maliasili na Utalii na Msaidizi wake yaani Katibu Mkuu alikuwa Prof Mkenda Kila siku walikuwa wanashtakiana Kwa shujaa Magufuli

Baadaye Prof Mkenda akatumia LISU style ya kumpandia Dr Kigwangala huko huko juu Uwazirini na sasa Kigwa katulizwa Kote Kote Siasani hadi Makolo FC Kwa Simba dugu moya

Ngoja tuone hii ya Mkenda vs Katibu wa Rais itaishije

Ahsanteni sana πŸ˜„
 
Chama cha Mazezeta
 
Atampandia huko huko boss wa Katibu. Aah, nimesahau, kumbe uteuzi wa jina la mgombea umeshafanyika!
 
Profesa kuishi kinafiki kama Lusinde, Kafulila na Dorothy Gwajima ni ujinga...
Acha awapasue!
Kabisa, ni upuuzi pale unapotaka mambo yaende haraka, then kuna watu wanakuzuia kuonana na boss wako.

Na hapo hapo boss wako unachoenda kumwambia anakubali ni chenye manufaa kwa nchi. Aibu iliyoje kwa hao watendaji,
 
Prof Mkenda ni asset kwa nchi. Namfahamu vizuri sana, hana mzaha na longolongo.
Walimtupia zigo la mtaala mpya kisiasa huku hawajaanda pesa ya kutosha. Mtaala mpya unahitaji.
1. Retraining ya waimu wote nchi nzima.
2. Ujenzi wa miundombinu ya kufundishia stadi za ufundi.
3. Kuwe na bajeti ya kutosha kutrack quick adoption na changes kwenye transition period ya mtaala wa z amani kwenda mpya.
Badget ya hapo ni trillions kadhaa.
Hayo mabasi ya CCM yasingenunuliwa, huenda hiyo pesa ingesaidia kwenye hiyo budget.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…