Pre GE2025 Kigwangalla: Asilimia 65 ya Wabunge hawachaguliwi tena

Pre GE2025 Kigwangalla: Asilimia 65 ya Wabunge hawachaguliwi tena

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Thugs001

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2018
Posts
434
Reaction score
933
"Kila baada ya miaka mitano, asilimia takribani 65 ya wabunge hawarudi [hawachaguliwi tena]. Kwahivyo, hata utishie namna gani, utatoka tu kama wakati wako wa kutoka umefika." - Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt. Hamis Kigwangalla kuhusu vitisho vya baadhi ya wabunge kwa wanaotaka kugombea ubunge kwenye majimbo yao
IMG-20240113-WA0084.jpg
 
Back
Top Bottom