Kigwangalla; Kutoka Uwaziri Hadi mtaalamu wa mazoezi

Kigwangalla; Kutoka Uwaziri Hadi mtaalamu wa mazoezi

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Nachukua muda mwingi kuangalia maisha ya ndugu zetu wanapopewa vyeo na wanapovuliwa madaraka. Kigwangala alikuwa moto sana na harakati nyingi akiwa Waziri, Leo ameondolewa nilitegemea aendelee japo kupost positive things watu waige watekeleze lakini amejikita kwenye push up.

Hii maana yake Nini? Inatufundisha kwamba maisha nje ya madaraka yanachanganya na usipokuwa mvumilivu unaweza kuchanganyikiwa. Wito kwa viongoz, try to live your normal life before and after power so that people will not realize changes
 
Huyu ni daktari wa Lisu. Lisu alipougua akili akachanganyikiwa kigwa ndio alimtibu
 
Mzaha sio mzaha? Mitano tena Jiwe shikilia hapo hapo...nasema uongo ndugu zangu?
 
Mtoa mada una mentality ya ajabu sana. Na wengi wana mawazo kama hayo uliyoyatoa ndiyo maana hata uelewa wenu upo fixed sana.

Hamisi yupo sawa kuishi maisha yale. Acha aendelee kufanya ANACHOKIPENDA.

Chagua role model mwingine kama huyo hakufai.
 
Hi maana yake Nini? Inatufundisha kwamba maisha nje ya madaraka yanachanganya na usipokuwa mvumilivu unaweza kuchanganyikiwa. Wito kwa viongoz, try to live your normal life before and after power so that people will not realize changes
Huyu angeungana na yule jamaa wa vitisho Dar
 
“Ni hatari sana kupambana na mamba kwenye kina kirefu”.... Mwigulu.
 
Maoezi ni utaratibu wa maisha wa mwanadamu.

Kingwangwala yeye ni.mpenzi mkubwa wa mazoezi. Na nina uhakika ni wachache Wana uwezo wa kukimbia umbali anaokimbia yeye.

Leave him alone
 
Jamaa anajaribu sana kujikomentisha kwenye posts za popular instagrammers wa Bongo. Naona anajitengenezea PR ya Urais wa 2025!
 
Nachukua muda mwingi kuangalia maisha ya ndugu zetu wanapopewa vyeo na wanapovuliwa madaraka. Kigwangala alikuwa moto sana na harakati nyingi akiwa Waziri, Leo ameondolewa nilitegemea aendelee japo kupost positive things watu waige watekeleze lakini amejikita kwenye push up.

Hii maana yake Nini? Inatufundisha kwamba maisha nje ya madaraka yanachanganya na usipokuwa mvumilivu unaweza kuchanganyikiwa. Wito kwa viongoz, try to live your normal life before and after power so that people will not realize changes
gym instructor
 
Vipi 'Shangazi 'hana miadi ya kwenda kula nae 'Urojo' safari hii?
Mwambieni Shangazi Puliiz, amfariji tu jamani.
 
Back
Top Bottom