njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Ukiwakuta hawa wamevaa ma scarfs ya bendera ya taifa na kushikilia ilani ya CCM kwenye makwapa yao unaweza kusema hii nchi imebarikiwa sana.
Wengine walikwapua mabilioni ya wizara ya utalii na CAG akathibitisha lakini kimyaaaaa bado wanajifanya wazalendo, wakatumia hadi ndege za Tanapa kula bata na vimada lakini leo wanashadadia wanuka jasho wakamuliwe tozo eti zitajenga madarasa na zahanati.
Alichoandika Kigwangalla kwenye account yake ya twitter
Hivi kweli Wabongo wote tumeshindwa kuendesha biashara ya DART mpaka tumpe hii kazi kampuni ya nje, au kuna nini? Aibu yetu wallah! Yaani tumekopa, tumejenga halafu kuendesha ma-bus tu na kukusanya hela tumeshindwa! Sasa tutaweza biashara gani?
BRT kupunguza adha ya usafiri jijini Dar ambapo takriban watu 200,000 wanasafiri kila siku. Ila itaondoa barabarani daladala zaidi ya 8000! Ajira ngapi zitapotea? Fikiri kuhusu mnyororo: madereva, makondakta, gereji, maduka ya spares, mama ntilie, wenye ma-bus, sheli nk!
Wahandisi huwa wanaongea kuhusu ‘multi-modal’ design ya miradi. Toka 2013 nimekuwa nikiuliza hivi ni kwa nini kwenye BRT hawakuweka ‘provision’ ya reli nyepesi/‘tram’, na ni kwa nini miundombinu haifiki kwenye vituo vikubwa vya Uchukuzi kama station/bandarini/AirPort/stendi?
Wahandisi mnapo-design miradi muwe mnaalika wachumi wawasaidie la sivyo mtaendelea kutuangusha. Mf. Hivi ni kwa nini mli-design phase 1 ya SGR bila kuiingiza bandarini? Mkaishia stesheni tu. Inamaana hamkujua kuwa mizigo ndiyo biashara kubwa zaidi ya reli kuliko abiria?
Kama tunaona kampuni za ndani ama serikali haiwezi kuendesha kampuni ya BRT, itakuaje kwenye Shirika la ndege, meli na reli? Tutaweza? Hii wala siyo issue ya kisiasa, ni issue ya kiuchumi na ‘mindset’! Ni ya kwetu sote, ni ya kijamii kwa ujumla wake! Tujitafakari sana.
Wengine walikwapua mabilioni ya wizara ya utalii na CAG akathibitisha lakini kimyaaaaa bado wanajifanya wazalendo, wakatumia hadi ndege za Tanapa kula bata na vimada lakini leo wanashadadia wanuka jasho wakamuliwe tozo eti zitajenga madarasa na zahanati.
Alichoandika Kigwangalla kwenye account yake ya twitter
Hivi kweli Wabongo wote tumeshindwa kuendesha biashara ya DART mpaka tumpe hii kazi kampuni ya nje, au kuna nini? Aibu yetu wallah! Yaani tumekopa, tumejenga halafu kuendesha ma-bus tu na kukusanya hela tumeshindwa! Sasa tutaweza biashara gani?
BRT kupunguza adha ya usafiri jijini Dar ambapo takriban watu 200,000 wanasafiri kila siku. Ila itaondoa barabarani daladala zaidi ya 8000! Ajira ngapi zitapotea? Fikiri kuhusu mnyororo: madereva, makondakta, gereji, maduka ya spares, mama ntilie, wenye ma-bus, sheli nk!
Wahandisi huwa wanaongea kuhusu ‘multi-modal’ design ya miradi. Toka 2013 nimekuwa nikiuliza hivi ni kwa nini kwenye BRT hawakuweka ‘provision’ ya reli nyepesi/‘tram’, na ni kwa nini miundombinu haifiki kwenye vituo vikubwa vya Uchukuzi kama station/bandarini/AirPort/stendi?
Wahandisi mnapo-design miradi muwe mnaalika wachumi wawasaidie la sivyo mtaendelea kutuangusha. Mf. Hivi ni kwa nini mli-design phase 1 ya SGR bila kuiingiza bandarini? Mkaishia stesheni tu. Inamaana hamkujua kuwa mizigo ndiyo biashara kubwa zaidi ya reli kuliko abiria?
Kama tunaona kampuni za ndani ama serikali haiwezi kuendesha kampuni ya BRT, itakuaje kwenye Shirika la ndege, meli na reli? Tutaweza? Hii wala siyo issue ya kisiasa, ni issue ya kiuchumi na ‘mindset’! Ni ya kwetu sote, ni ya kijamii kwa ujumla wake! Tujitafakari sana.