Consultant JF-Expert Member Joined Jun 15, 2008 Posts 11,503 Reaction score 20,892 Dec 30, 2019 #21 Kigwangallah kajimix hapo vipi? Kila Waziri akiamua kujichomeka kwenye kila tangazo si itakuwa tafrani? Siku akitumbuliwa nadhani ndio itakuwa nafasi nzuri ya kuboresha hiyo english yenye matege na makengeza
Kigwangallah kajimix hapo vipi? Kila Waziri akiamua kujichomeka kwenye kila tangazo si itakuwa tafrani? Siku akitumbuliwa nadhani ndio itakuwa nafasi nzuri ya kuboresha hiyo english yenye matege na makengeza