Duniahadaa
JF-Expert Member
- Oct 16, 2017
- 336
- 677
Muda wote amejichimbia anatafuta namna ya kuhalalisha batili iliyofanyika Korogwe. Atajibu hivi: "Barua yako imekuja kama malalamiko na sio rufaa, kwa hiyo NEC imeshindwa kukujibu"
Halafu waatakuja kuwaambia CIA leteni ushahidi!
Halafu waatakuja kuwaambia CIA leteni ushahidi!