Kama kawaida ya wahasibu wa Tanzania, ambapo hua tunasomea na kuchambua mpira, Mambo ya kihasibu, yaani kuhesabu mafaranga njoo kama vile tuliwachambulia Kwa Aziz Ki.
Kwahiyo uelekeo wa CPA ndio unaonesha yote hayo, Haya mambo hamuwezi kuyaelewa ninyi Yanga, na hamtoelewa.
Yaani uhasibu ni kutunza vitu, hata kutunza chakula ni uhasibu, kutunza funguo ndio uhasibu uleule
Watani na mambo yao ya kihasibu.
Kwahiyo uelekeo wa CPA ndio unaonesha yote hayo, Haya mambo hamuwezi kuyaelewa ninyi Yanga, na hamtoelewa.
Yaani uhasibu ni kutunza vitu, hata kutunza chakula ni uhasibu, kutunza funguo ndio uhasibu uleule
Watani na mambo yao ya kihasibu.