JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Amesema “Hatuna kesi ya Watu waliofariki kwa Ugonjwa wa Kipindupindu lakini ninamaamini baada ya WHO kufika, Serikali walituma Watu wa Wizara, tunaamini ndani ya muda mfupi jambo hili litaisha.
Wananchi wazingatie hatua zote za msingi ambazo wanaelimishwa na Watu wa Afya kwani katika vitu vinavyochangia Uwepo wa Ugonjwa wa Kipindupindu ni baadhi ya Mila na Tamaduni za kwetu ndani ya Simiyu na uelewa mdogo wa Wananchi kuhusu suala hilo, pia tumewaelimisha Wananchi kujenga vyoo.
Chanzo: PBTV
Pia soma
~ Kipindupindu Simiyu kimeshamiri, kinaua ni hatari! Mbona Serikali haiweki wazi 'status' ipoje?
~ Wataalam wa Afya waingia mtaani kufanya jitihada za kudhibiti magonjwa ya kuhara Mkoani Simiyu