Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,672
- 6,880
Binafsi nashindwa kuwaelewa hawa ndugu zetu wanaokuwa na wake zao halafu wanapiga kambi kwa wanawake wengine (nyumbandogo/kimada)
kwani binafsi ninavyoamini ni kwamba hao wanawake wa upande wa pili ni vigumu kuweza kufungua mioyo yao na wakapenda kwa dhati coz ,wao watakuona kama mtu usiye na msimamo kwani kama leo upo kwao kesho utahamia kwingine kama ulivyomfanyia mkeo,
zaid ukishaoa unapoteza uhalali na sifa ya kupenda au kupendwa kimapenzi na mwanamke mwingine,
naona kama huko mnatumika tu kuwawezesha na laiti wakibahatika kupata choice zao ''kinachofuata ni kupigwa chini fasta ''na kurudi kuheshimiana na mkeo huku ukiwa umenyong'onyea kimwili hadi kiuchumi.
Uongo/ kweli?
kwani binafsi ninavyoamini ni kwamba hao wanawake wa upande wa pili ni vigumu kuweza kufungua mioyo yao na wakapenda kwa dhati coz ,wao watakuona kama mtu usiye na msimamo kwani kama leo upo kwao kesho utahamia kwingine kama ulivyomfanyia mkeo,
zaid ukishaoa unapoteza uhalali na sifa ya kupenda au kupendwa kimapenzi na mwanamke mwingine,
naona kama huko mnatumika tu kuwawezesha na laiti wakibahatika kupata choice zao ''kinachofuata ni kupigwa chini fasta ''na kurudi kuheshimiana na mkeo huku ukiwa umenyong'onyea kimwili hadi kiuchumi.
Uongo/ kweli?