Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 265
Leo nimempata Ngeleja akisoma hotuba, aibu. embu soma zikiza hii.. the the the the..... Masha yuko juu sana kwenye kiingereza
5. Opening speaker Minister William Ngeleja part 2 (International Energy Conference 2009) - YouTube
Siyo lugha yake wala simshangai.mbona hamuwashanga waingereza wanapokosea kiswahili?
Leo nimempata Ngeleja akisoma hotuba, aibu. embu soma zikiza hii.. the the the the..... Masha yuko juu sana kwenye kiingereza
5. Opening speaker Minister William Ngeleja part 2 (International Energy Conference 2009) - YouTube
Siyo lugha yake wala simshangai.mbona hamuwashanga waingereza wanapokosea kiswahili?
Tulikuwa kwenye mkutano wa Jumuia ya Afrika Mashariki pale Naura Springs mwezi uliopita Meya wa Arusha Gaudence Lymo alianza kusoma speech yake hivi "Lady and Gentlemens" Hapa hakuna swala la accent bali ni ufinyo wa kuelewa lugha au elimu. Nilijisikia aibu sana kuwakilishwa na meya asiejua kusoma hotuba kwa kiingereza tena ya kuandikiwa. Aliyewakilisha Burundi alitoa hotuba yake kwa kifaransa na kurudiwa na mkalimani. Sisi pia tuanze kuwatumia wakalimani.
mbona jk kwenye conference brussels alisema madam chairman!!!!
Afadhali huyo kuna siku Mkuu wa Kaya alikuwa anafanyiwa interview na Clouds Fm siku ya birthday yake. Basi msikilizaji akapiga simu na kum-wish ''happy birthday Mr. President'' jamaa akajibu ''oooh! The same to you''