Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
AahahahaMtakao hudhuria hiyo mechi, muende na maji ya kutosha ili kupunguza presha. Taifa Stars ni kichomi.
Pale mnapoipa nafasi ya kushinda, ndiyo inafungwa.
All in all, nikiwa kama Mtanzania; naitakia ushindi.
Mtakao hudhuria hiyo mechi, muende na maji ya kutosha ili kupunguza presha. Taifa Stars ni kichomi.
Pale mnapoipa nafasi ya kushinda, ndiyo inafungwa.
All in all, nikiwa kama Mtanzania; naitakia ushindi.
Tatizo litakuwa hao walioongezwa.Mtakao hudhuria hiyo mechi, muende na maji ya kutosha ili kupunguza presha. Taifa Stars ni kichomi.
Pale mnapoipa nafasi ya kushinda, ndiyo inafungwa.
All in all, nikiwa kama Mtanzania; naitakia ushindi.
Wasipocheza, kuna wadau watasema pia sababu ya kufungwa ni kukosekana kwa hao wachezaji wawili.Tatizo litakuwa hao walioongezwa.
Wakicheza tu,tumefungwa!
Tanzania itafuzu. Maana hawana kisingizio cha kukosa pointi 10.Nimechi mhimu sana kwa Tanzania, Yaani yamebaki masaa kadhaa ila nafsi yangu. Imekuwa na hofu %kubwa sana.
Mungu ibariki Taifa stars
Duh nimecheka sana...Wasipocheza, kuna wadau watasema pia sababu ya kufungwa ni kukosekana kwa hao wachezaji wawili.
Jambo la kushukuru, hili kundi letu kina timu moja tu yenye sifa kufuzu. Hizo timu 3 zulizobakia, ni za wagonjwa. Na ukiwaangalia hao wagonjwa wote 3, Taifa Stars wana unafuu kidogo.