[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nimegunduaaa uwanjani leo wanaingia wachama wa na wafuwasi wake. Tena watakaokuwa na jezii za ushabiki wa yanga.
Unajua ni kwa nini??
Yanga vibali vyote au tiketi ziliandaliwa elfu 40 vya/za kuingiliaa na vyoteee vyapatikanaa yangaa..
Kwa hiyo uwanjani wataingia kwa kibali cha yangaa.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Inaumaaaa sanaa