Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,153
- 2,647
Hivi ni kwanini kijacho anakatisha kwa kugusa kwa nguvu tumboni pale ambapo mama kijacho anapotaka kupiga chafya, kikohozi na miayo?
Akikugusa, chafya, kikohozi na miayo vinaishia njiani na wala havitoki!
Akikugusa, chafya, kikohozi na miayo vinaishia njiani na wala havitoki!