Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 270
- 450
Habar zenu wanajamvi
Kutokana na kile alichopost ndg angu edo kumwembe naomba nichangie kwa kutoa maoni yangu kama ifuatavyo
Vijana wa kibongo sasa umefika wakat wa kubadilika ani unakuta kijana mshipa umemkakamaa anataka kuua mtu ukimwambia kiba ni tajir kuliko mondi,kijana wa kibongo anaijua historia ya mondi kuliko mondi mwnyw utackia ooh ile mark alonayo mkononi aliunguaga na uji wakat mama ake kaenda dukan,,ani naimagine huo mda unaokaa vijiweni kubishana ungekua umeenda kijijin kwenu kulima kilimo cha nanas sa hv c ungekua unakarbia kuvuna kabisa,kwann usimshindanishe baba ako na yule jirani enu tajir hao mondi na kiba wanakujua???,unakuta mtu anaanzisha kabisa thread et NALIONA ANGUKO LA MONDI mwingine KIBA BADO NI MASKIN KWA MONDI,,,shubamiit maza fanta mbna anguko la baba ako hulionagi,vijana ni wakat wa kuchange hao mondi na kiba washatoboaga na wanazid kutoboa we tangu umalze shule una kipi cha kujivuniaau hyo meza ya kioo ndo inakuchanganya wengine wapo kwao mpk sebule na vile vipaka vya kwao vishawazoea
nawasilisha
[HASHTAG]#kama[/HASHTAG] msumar umekuchoma saana kachome tetenas
Kutokana na kile alichopost ndg angu edo kumwembe naomba nichangie kwa kutoa maoni yangu kama ifuatavyo
Vijana wa kibongo sasa umefika wakat wa kubadilika ani unakuta kijana mshipa umemkakamaa anataka kuua mtu ukimwambia kiba ni tajir kuliko mondi,kijana wa kibongo anaijua historia ya mondi kuliko mondi mwnyw utackia ooh ile mark alonayo mkononi aliunguaga na uji wakat mama ake kaenda dukan,,ani naimagine huo mda unaokaa vijiweni kubishana ungekua umeenda kijijin kwenu kulima kilimo cha nanas sa hv c ungekua unakarbia kuvuna kabisa,kwann usimshindanishe baba ako na yule jirani enu tajir hao mondi na kiba wanakujua???,unakuta mtu anaanzisha kabisa thread et NALIONA ANGUKO LA MONDI mwingine KIBA BADO NI MASKIN KWA MONDI,,,shubamiit maza fanta mbna anguko la baba ako hulionagi,vijana ni wakat wa kuchange hao mondi na kiba washatoboaga na wanazid kutoboa we tangu umalze shule una kipi cha kujivuniaau hyo meza ya kioo ndo inakuchanganya wengine wapo kwao mpk sebule na vile vipaka vya kwao vishawazoea
nawasilisha
[HASHTAG]#kama[/HASHTAG] msumar umekuchoma saana kachome tetenas