Hapo ni kafara za uchaguzi zinatafutwa wenye kulaumiwa ni viongozi wa CCM wanaosaka madaraka.Wakuu,
Kwenye video hii kuna kijana anakiri yeye na wenzake kushirikiana kuiba watoto, ambapo kwa kila mtoto wanayeiba hupewa Tsh. 5,000.
Watoto hao huuliwa na kisha miili yao kupelekwa Dar. Video haielezei zaidi kama ni mambo ya ushirikina au nini.
Video inazunguka sana huko Whatsapp, hii sehemu ametaja Wakuu ni wapi kwa hapa Tz?
Angalia hapa
View attachment 3080181
Muda mwingi vyombo vya ulinzi na usalama vinapoteza muda kwenye kulinda chama tawala ,na sio ustawi wa jamii lasima hayo yawepo!wakualumiwa ni wananchi ,nao wamekaa kimya tu,bora hata hao wa simiyu juzi wamepaza sauti.Usalama wa nchi upo Chini sana
Sidhani Kama Kuna ukweli. Siyo kwamba hii imetengenezwa ili kubadili uelekeo wa upepo????Wakuu,
Kwenye video hii kuna kijana anakiri yeye na wenzake kushirikiana kuiba watoto, ambapo kwa kila mtoto wanayeiba hupewa Tsh. 5,000.
Watoto hao huuliwa na kisha miili yao kupelekwa Dar. Video haielezei zaidi kama ni mambo ya ushirikina au nini.
Video inazunguka sana huko Whatsapp, hii sehemu ametaja Wakuu ni wapi kwa hapa Tz?
Angalia hapa
View attachment 3080181
Inashangaza sanaDah umaskini ni Laana😩😭 wanashiriki kuuwa watoto kwa malipo ya Tsh. 5,000
Innalillahi wainna ilaihi rajiun.