Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Kijana wa Kenya kwenye page yake mtandao X kwa jina sniperkenya1 huko mtandao wa X ambaye alijizoelea umaarufu wa kutengeneza clip ya utani ikimtungua Rais Ruto huku maandamano ya GEN-Z yakiwa yamepamba moto.
Kijana huyo huko Nairobi kupitia mtandao wa x jeshi la polisi Kenya lilitoa ujumbe kumtafuta na tokea hapo ajulikani mpaka leo halipo.
Sasa ndio mjue wasiojulikana ni polisi.
Pia soma ==>> Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama
Kijana huyo huko Nairobi kupitia mtandao wa x jeshi la polisi Kenya lilitoa ujumbe kumtafuta na tokea hapo ajulikani mpaka leo halipo.
Sasa ndio mjue wasiojulikana ni polisi.
Pia soma ==>> Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama