Vijana wengi kuanza maisha hupata shida waanzaje .Tafuta elfu tano nunua mkeka huo huo utautumia Kama kiti Cha kukaaa wewe na wageni wako na hapo hapo ujautumia Kama kitanda kulala usiku
Ni kweli Mkeka ni bora kwani kwa kijana uwezekano wa kwenda jela ni mkubwa na kule ni Mikeka tu.CCM oyeeeMbona godoro 40,000/= tu mpaka 30,000/= unapata used.
Godoro ni basic need kulala chini sio vizuri mwili umeumbwa na mifupa.
Sent using Jamii Forums mobile app
True unatumia kama sufuria vilevileVijana wengi kuanza maisha hupata shida waanzaje .Tafuta elfu tano nunua mkeka huo huo utautumia Kama kiti Cha kukaaa wewe na wageni wako na hapo hapo ujautumia Kama kitanda kulala usiku
Nenda kwa mzee wa upako uanze maombi utakuwa na jini mkata kamba kwaiyo ukipanga tu room jini mkata kamba anajuka anakata kamba anarudi hoteliniPaka leo nimeshindwa kuanza maisha baada ya kuanza, yakanishinda aisee.. ninaaishia kuishi ma hotelin tuu..
Akili za CCM hizi ni za kuzihurumia tu. Kama nimeweza kulipa rent nashindwa kununua godoro?Vijana wengi kuanza maisha hupata shida waanzaje. Tafuta elfu tano nunua mkeka huo huo utautumia Kama kiti Cha kukaaa wewe na wageni wako na hapo hapo ujautumia Kama kitanda kulala usiku.