Swala ni kuweka C.V mezani ionekane kuwa serius what u wrote is too short haivutii kwa mtu anaeitaji kuajiri weka mambo haya SEX, GPA, Div vi and iv. tumia lugha moja kwa ufasaha zaidi kama kiingereza ama kiswahili then u ll c the outcome kumbuka kuna wengi sana pia wanatfuta ajira kama wewe onyesha utofauti. Ushauri kwako tembelea pia zoomtanzania.com