witacha matiku
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 722
- 237
Muda kati ya tangazo na mtu kufika ni dakika 17..!! We kuweza?Uongozi wa Premium Institute unahitaji kijana mwenye uwezo wa Shughuli ya stationery na awe na sifa zifuatazo:-
(i) Typing speed
(ii) Ability to apply and use all basic computer programs
(iii) Good customer care
(iv) result driven etc.
NB: You are not allowed to submit your academic and other partial certificates only you will be needed to demonstrate your skills, knowledge and experience.
LOCATION: Mwenge ITV, Mbele ya geti la K.K.K.T Mwenge.
kwa Mawasiliano : 0614122533.
FIKA OFISINI KABLA YA SAA 8 MCHANA 07/09/2023.
Au jamaa katuma tangazo akiwa bwiiMuda kati ya tangazo na mtu kufika ni dakika 17..!! We kuweza?
07/09/2023tangazo saa7 kufika ni kabla ya saa8,nikitoka kigamboni sahizi nafika mwenge saa11 jioni
Hata uwe bwii huwezi fanya hivyo...!!Au jamaa katuma tangazo akiwa bwii
HAHhh kama kashindwa kuona tarehe typing speed ataiweza kweli07/09/2023
Tarehe 7/9/2023 ni kesho just to arrange your timetabletangazo saa7 kufika ni kabla ya saa8,nikitoka kigamboni sahizi nafika mwenge saa11 jioni
Consider tarehetangazo saa7 kufika ni kabla ya saa8,nikitoka kigamboni sahizi nafika mwenge saa11 jioni
kumbe kuna tarehe,kwahiyo mkuu kutakuwa na usahili au atakae wahi nije saa11 alfajiri hapoConsider tarehe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee,kwa mtaani kulivyo kugumu ukienda saa 11 alfajiri utakuwa umechelewa,wewe nenda leo umsaidie na Mlinzi kulinda kabisa[emoji1787]kumbe kuna tarehe,kwahiyo mkuu kutakuwa na usahili au atakae wahi nije saa11 alfajiri hapo