Kijana mwenzangu, kuliko kununua odds bora uache kubet

Kijana mwenzangu, kuliko kununua odds bora uache kubet

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
21,952
Reaction score
43,265
Siku hizi limeibukaa wimbi la Utapeli hasa toka Kenya ambapo vijana wa Kenya na wachache watanzania wanawaambia vijana wa Kitanzania kuwa wao wana Odds za UHAKIKA so uwape hela wakuuzie. Vijana wengi wameshatapeliwa sana, wengi huuziwa odds wanaziamini wanaweka pesa ndefu nayo wanapigwa!!

Ewe kijana mwenzangu kuliko Kununua odds bora uache kubet, hiyo hela ufanyie mambo mengine. HAKUNA ODDS ZA UHAKIKA USIDANGANYIKE UKANUNUA ODDS!! Epukaa Matapeli pia usifanye utapeli wa kuuzia odds watu.

Acha tujiajiri maana serikali haina ajira[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Siku hizi limeibukaa wimbi la Utapeli hasaa toka Kenyaa ambapo vijana wa Kenya na wachache watanzania wanawaambia Vijana wa Kitanzania kuwa wao wana Odds za UHAKIKAA so uwape helaa wakuuzie.. Vijana wengi wameshatapeliwa sanaaa wengi huuziwa odds wanaziamini wanaweka pesa Ndefu nayo wanapigwa..!! Ewe kijana mwenzangu kuliko Kununua odds bora Uache kubet hiyo hela ufanyie mambo Mengine... HAKUNA ODDS ZA UHAKIKAAA USIDANGANYIKE UKANUNUA ODDS...!! Epukaa Matapeli...Pia Usifanye utapeli wa Kuuzia odds watu...

Achaa tujiajiri maana serikali haina Ajiraa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Fixed Match eti unauziwa KES 2,000, (Less than Tzs 46,000),
Hii Biashara imewatoa sana Wakenya na Wanigeria,
Yaani ukinda Facebook uka search tu Fixed Match utawaona wanavyokuja wa kutosha
 
Walinipa mkeka matokeo yakawa tofauti alafu wakatuma matokeo sahihi[emoji116]
IMG_20180506_113729_115.jpg
IMG_20180506_113740_370.jpg
 
Walinipa mkeka matokeo yakawa tofauti alafu wakatuma matokeo sahihi[emoji116] View attachment 771705View attachment 771706
Huo wa juu waliniuzia buku10 nikashinda gem ya chini kabisa baada ya matokeo wakatuma huo wachini baada ya gem kuisha;sasa niwauliuliza kwann sjapatia zote walizonitumia wakasema nlitoa pesa kidogo alafu akikutumia anakwambia single first then combine;aloo nliwakimbia kwakuwa nlikula odds zangu 8 napesa yangu nikarudisha
 
Huo upuuzi kabsa... siku hizi kila mtu anauza Odds,
Njaa Mbaya Aisee
 
Kwanza Kenya hamna vichwa vizuri kwenye betting Industry. Bongo kuna vichwa ww, vijana wanabet alafu wanajua alafu wanajilipua kweli kweli.Kenya Kampuni yao kubwa wanayoiamini ni Sportpesa wakati hapa bongo hii kampuni ni kimeo tu. Imeishia kutoa fadhira simba na Yanga tu ila kwa wazee wa mikeka hii kampuni wanaiona waduwani tu.. Nitamwona mtamzania ni mpumbavu atapokubali kununua tips kutoka Kenya.
 
Nimehamisha 95000 kutoka wallet yangu ya premier bet toka leo usiku mda wa saa tisa lakin hadi sasa hela yangu haijafika kwenye account yangu ya m-pesa. Nikahamisha tena 5000 naenyewe bado haijafika japokuwa kule premier bet zinaonesha zishatoka maana salio limepungua. Lakin vodacom wanasema hawazion pesa hizo niwasiliane na premier bet. Wamenipa namba lakin zote hazipatikani. jamani naomba msaada wenu nipate pesa zangu. Nisaiidie namba za wakala yyte wa premier bet.
 
Nimehamisha 95000 kutoka wallet yangu ya premier bet toka leo usiku mda wa saa tisa lakin hadi sasa hela yangu haijafika kwenye account yangu ya m-pesa. Nikahamisha tena 5000 naenyewe bado haijafika japokuwa kule premier bet zinaonesha zishatoka maana salio limepungua. Lakin vodacom wanasema hawazion pesa hizo niwasiliane na premier bet. Wamenipa namba lakin zote hazipatikani. jamani naomba msaada wenu nipate pesa zangu. Nisaiidie namba za wakala yyte wa premier bet.
Kuwa mpole hela itakuja tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabisa mkuu, me mwenyewe ni mhanga wa hii issue sitaki Tena hawa ***** ni wezi balaa,
Hasa Kyle Kenya kuna vichaa kibao sana hizi mishe
Siku hizi limeibukaa wimbi la Utapeli hasaa toka Kenyaa ambapo vijana wa Kenya na wachache watanzania wanawaambia Vijana wa Kitanzania kuwa wao wana Odds za UHAKIKAA so uwape helaa wakuuzie.. Vijana wengi wameshatapeliwa sanaaa wengi huuziwa odds wanaziamini wanaweka pesa Ndefu nayo wanapigwa..!! Ewe kijana mwenzangu kuliko Kununua odds bora Uache kubet hiyo hela ufanyie mambo Mengine... HAKUNA ODDS ZA UHAKIKAAA USIDANGANYIKE UKANUNUA ODDS...!! Epukaa Matapeli...Pia Usifanye utapeli wa Kuuzia odds watu...

Achaa tujiajiri maana serikali haina Ajiraa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwann asibeti yy anakuuzia,yy hataki hela Akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Back
Top Bottom