Kijana na Maisha, uchumi kama kileta furaha

Kijana na Maisha, uchumi kama kileta furaha

Allan Pontian

Member
Joined
Jun 26, 2024
Posts
14
Reaction score
20
Ndugu zangu Wana jukwaa hili. Nategemea kutoa andiko kwa vijana. Kutokana na uzoefu wako naomba unisaidie kujibu haya maswali yangu.

1. Ni jinsi gani kijana anatakiwa aishi ili kuwa na furaha bila uchumi/kipato?

2. Ni jinsi gani kijana anatakiwa kutafuta uchumi/kipato ili aishi kwa furaha?

Nitashukuru kwa muda wako na majibu yako.
 
kijana wa miaka 30 Uishi kwa Furaha bila pesa? wewe ni mtoto mchanga?

acha kupoteza muda kaka
 
Hakuna furaha hasa kwa kijana pasi na pesa mkuu.

Tutafuteni hela ili tuimarishe uchumi utakaotupa furaha

Tafuta pesa punguza utumwa, linda heshima.
 
Hakuna furaha hasa kwa kijana pasi na pesa mkuu.

Tutafuteni hela ili tuimarishe uchumi utakaotupa furaha

Tafuta pesa punguza utumwa, linda heshima.
Ni kweri kabsa lkn Kuna watu wametfta mpaka wamechoka hao unawazungumziaje?

Inasemekana hawana nyota nk. je mtu hyu anawezaje kuishi kwa furaha?
 
Wanasema tu. Sio mm Mzee mwenzangu.

Hata ivyo Mimi siamini hivyo
 
Back
Top Bottom