Ed edd n eddy
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 212
- 270
Habari zenu
Mimi ni kijana wa miaka 27 naishi dar es salaam.
Natafuta mke wa kumpenda na kujenga familia nae.kwangu naona huu ndio wakati sahihi wakuanza kujenga familia.
Kwanini natafuta jf?sababu jf ina users zaidi ya laki nne hivo inakua rahisi kumpata mwenye sifa unazotaka wewe kuliko kuhangaika mtaani.
SIFA ZA NIMTAKAE
Awe muislamu mchamungu
Atleast awe amesoma hata diploma
Awe anajishughulisha na chochote
Awe mzuri na asiwe mnene
Asizidi miaka 30
Asiwe na mtoto
Awe tayari na maisha ya ndoa kwa raha na shida.
SIFA ZANGU
kijana wa kiislamu mchamungu
Sina mtoto na wala situmii kilevi
Nimesoma na nimejiajiri kwa kufanya biashara
Nina mapenzi ya kweli.
Kama una sifa hizo sio vibaya kujuana zaidi kwa kunitumia msg pm
Mimi ni kijana wa miaka 27 naishi dar es salaam.
Natafuta mke wa kumpenda na kujenga familia nae.kwangu naona huu ndio wakati sahihi wakuanza kujenga familia.
Kwanini natafuta jf?sababu jf ina users zaidi ya laki nne hivo inakua rahisi kumpata mwenye sifa unazotaka wewe kuliko kuhangaika mtaani.
SIFA ZA NIMTAKAE
Awe muislamu mchamungu
Atleast awe amesoma hata diploma
Awe anajishughulisha na chochote
Awe mzuri na asiwe mnene
Asizidi miaka 30
Asiwe na mtoto
Awe tayari na maisha ya ndoa kwa raha na shida.
SIFA ZANGU
kijana wa kiislamu mchamungu
Sina mtoto na wala situmii kilevi
Nimesoma na nimejiajiri kwa kufanya biashara
Nina mapenzi ya kweli.
Kama una sifa hizo sio vibaya kujuana zaidi kwa kunitumia msg pm