Kijana pambana sana umudu kulipia kodi ya unapoishi kabla ya kuwaza ndoa. Epuka kulipiwa

Kijana pambana sana umudu kulipia kodi ya unapoishi kabla ya kuwaza ndoa. Epuka kulipiwa

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Hayati Lemutuz alisisitiza sana vijana kumudu kuwa na sehemu anapopaita kwake hata kama amepanga. Hata kama ni chumba kimoja hakikisha unamudu kulipa kodi ya pango. Hiki kiwe kipaumbele cha kwanza kwa kijana wa kiume. Kushindwa kumudu kodi ya pango huja na gharama kubwa inayodhalilisha utu.

Nimeandika huu uzi kwa masikitiko makubwa sana baada ya jamaa yangu mmoja kufunga ndo leo huku tukijiuliza maswali mengi sana ITAKUWAJE? Kiufupi ni kuwa jamaa na huyu mkewe walikuwa wapenzi kwa muda mrefu na mara nyingi huyu manzi alikuwa akidai jamaa ni mwanachama mtiifu wa chama cha mabahili.

Maneno yalienea sana. Wengi tulipuuzia kwa sababu ni lawama za kawaida. Tulishtuka bidada alipoanza kuchepuka na jamaa mwingine anayeishi mji wa mbali kidogo. Madai yake akadai huyu jamaa yetu ana mashine ndogo hamridhishi. Hii ilishtua sana na kusikitisha.

Tukiwa tumebaki na mshangao ndo tukasikia jamaa yetu anaoa huyo mdada mdhalilishaji. Lakini cha kushangaza mchepuko akamfuata mchungaji na kumwambia asithubuti kufungisha hiyo ndoa maana bidada ni mtu wake na tayari kashachomoa mimba yake.

Mchungaji akaona atulie na kusikilizia kwanza. Wakati akisikilizia tukashangazwa kuona jamaa na manzi wake wameamua kufunga ndoa ya bomani. Pigo kuu ni kuwa baada ya ndoa manzi anaenda kuanza chuo mji anaoishi mchepuko wake. Kimsingi ni huzuni.

Baada ya kujiuliza kuwa imekuwaje huyu jamaa yetu kuwa dhaifu kiasi hiki? Tumegundua baba mkwe wake ambaye ni tajiri ndo yuko nyuma ya kila kitu. Baba mkwe anamkubali jamaa kinoma kiasi kwamba kamkabidhi APARTMENT aishi bure eneo la ushuani.
 
Hayati Lemutuz alisisitiza sana vijana kumudu kuwa na sehemu anapopaita kwake hata kama amepanga. Hata kama ni chumba kimoja hakikisha unamudu kulipa kodi ya pango. Hiki kiwe kipaumbele cha kwanza kwa kijana wa kiume. Kushindwa kumudu kodi ya pango huja na gharama kubwa inayodhalilisha utu.

Nimeandika huu uzi kwa masikitiko makubwa sana baada ya jamaa yangu mmoja kufunga ndo leo huku tukijiuliza maswali mengi sana ITAKUWAJE? Kiufupi ni kuwa jamaa na huyu mkewe walikuwa wapenzi kwa muda mrefu na mara nyingi huyu manzi alikuwa akidai jamaa ni mwanachama mtiifu wa chama cha mabahili. Maneno yalienea sana. Wengi tulipuuzia kwa sababu ni lawama za kawaida. Tulishtuka manzi alipoanza kuchepuka na jamaa mwingine anayeishi mji wa mbali kidogo. Madai yake akadai huyu jamaa yetu ana mashine ndogo hamridhishi. Hii ilishtua sana na kusikitisha.

Tukiwa tumebaki na mshangao ndo tukasikia jamaa yetu anaoa huyo manzi mdhalilishaji. Lakini cha kushangaza mchepuko akamfuata mchungaji na kumwambia asithubuti kufungisha hiyo ndoa maana manzi ni mtu wake na tayari kashachomoa mimba yake. Mchungaji akaona atulie na kusikilizia kwanza. Wakati akisikilizia tukashangazwa kuona jamaa na manzi wake wameamua kufunga ndoa ya bomani. Pigo kuu ni kuwa baada ya ndoa manzi anaenda kuanza chuo mji anaoishi mchepuko wake. Kimsingi ni huzuni.

Baada ya kujiuliza kuwa imekuwaje huyu jamaa yetu kuwa dhaifu kiasi hiki? Tumegundua baba mkwe wake ambaye ni tajiri ndo yuko nyuma ya kila kitu. Baba mkwe anamkubali jamaa kinoma kiasi kwamba kamkabidhi APARTMENT aishi bure eneo la ushuani.
ya watu waachie watu..
 
Hayati Lemutuz alisisitiza sana vijana kumudu kuwa na sehemu anapopaita kwake hata kama amepanga. Hata kama ni chumba kimoja hakikisha unamudu kulipa kodi ya pango. Hiki kiwe kipaumbele cha kwanza kwa kijana wa kiume. Kushindwa kumudu kodi ya pango huja na gharama kubwa inayodhalilisha utu.

Nimeandika huu uzi kwa masikitiko makubwa sana baada ya jamaa yangu mmoja kufunga ndo leo huku tukijiuliza maswali mengi sana ITAKUWAJE? Kiufupi ni kuwa jamaa na huyu mkewe walikuwa wapenzi kwa muda mrefu na mara nyingi huyu manzi alikuwa akidai jamaa ni mwanachama mtiifu wa chama cha mabahili.

Maneno yalienea sana. Wengi tulipuuzia kwa sababu ni lawama za kawaida. Tulishtuka bidada alipoanza kuchepuka na jamaa mwingine anayeishi mji wa mbali kidogo. Madai yake akadai huyu jamaa yetu ana mashine ndogo hamridhishi. Hii ilishtua sana na kusikitisha.

Tukiwa tumebaki na mshangao ndo tukasikia jamaa yetu anaoa huyo mdada mdhalilishaji. Lakini cha kushangaza mchepuko akamfuata mchungaji na kumwambia asithubuti kufungisha hiyo ndoa maana bidada ni mtu wake na tayari kashachomoa mimba yake.

Mchungaji akaona atulie na kusikilizia kwanza. Wakati akisikilizia tukashangazwa kuona jamaa na manzi wake wameamua kufunga ndoa ya bomani. Pigo kuu ni kuwa baada ya ndoa manzi anaenda kuanza chuo mji anaoishi mchepuko wake. Kimsingi ni huzuni.

Baada ya kujiuliza kuwa imekuwaje huyu jamaa yetu kuwa dhaifu kiasi hiki? Tumegundua baba mkwe wake ambaye ni tajiri ndo yuko nyuma ya kila kitu. Baba mkwe anamkubali jamaa kinoma kiasi kwamba kamkabidhi APARTMENT aishi bure eneo la ushuani.
Acha umbea mtoto wa kiume ww deal na mamb yako mambo ya watu yaache km yalivyo unaonekana majiran zako wanapata tabu kwa umbea ulio nao aseh,ukaona kabisa ni habar ya kuja kuhabarisha hapa!!!!!acha umbea
 
Acha umbea mtoto wa kiume ww deal na mamb yako mambo ya watu yaache km yalivyo unaonekana majiran zako wanapata tabu kwa umbea ulio nao aseh,ukaona kabisa ni habar ya kuja kuhabarisha hapa!!!!!acha umbea
Sawa dada Old Guard.
 
Back
Top Bottom