Kijana unatafuta ajira?

Wazo Langu

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2011
Posts
1,381
Reaction score
842
Mimi ni kijana mwenye taaluma.
Nimetafuta kazi ya kuajirirwa kwa mshahara unaolingana na taaluma yangu bila mafanikio.
Naishia kufanya vibarua tu.
Nimeona niwatafutevijana wengine wenye fani mbalimbali tuungane na kuanzisha kitu kitakachoweza kututengenezea ajira.
Kwa pamoja naamini tutaweza, nina vitu vingi vya kuwashirikisha lakini pia nitajifunza toka kwenu.
Kama utapenda tuwasiliane nitumie Private message (PM)
 
Sawa mheshimiwa!!!!
 
Sawa mheshimiwa mawasiliano yako mbona hakuna tupe mawasiliano, je ni fani mchanganyiko au pia sijaliona. Thanks
 
Sawa mheshimiwa mawasiliano yako mbona hakuna tupe mawasiliano, je ni fani mchanganyiko au pia sijaliona. Thanks

Fani tofauti
Anza kwa kuni pm kama utaona wahitaji kuwasiliana na mimi zaidi nitakupa contacts
itategemea tutakavyojadiliana.
Siwezi kuanika details zangu kirahisi.
 
am a graduate of two undergraduate degrees, which are philophy and law. i can make you a very competent worker.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…