Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Makonda tuna mipango nae mikubwa zaidi kwa sasa.

Isipokuwa huyu Dkt Gwajima D hapo hapamtoshi na hafahamu namna ya kujirekebisha (Reforms) na hana ubunifu wa kukaboiliana na majanga ya Watanzania kisasa.
Nakuona mara nyingi unawaonea wivu wanaweke walio kuzidi mafanikio na maendeleo, DK gwajima ni mwanataaluma Makini Sana , Tena kufundisha muhimbili .
ushoga ni swala mtambuka kwenye jamii. na jamii iache kuficha ,aibu kulizungumza swala hili la LGBTQ .
Jamii inavyokaa kimya na kufanya Siri ndio madhara yanazidi kuwa makubwa.
 
Kusoma siyo kuelimika.

Anaonesha yeye na wewe mlienda shule kusomea ujinga.
 
Mungu sio fala akuumbe shoga from birth afu apinge na kulaani ushoga
 
am extremely sorry, out of topic question,
what is a secret of your best english skills?
 
am extremely sorry, out of topic question,
what is a secret of your best english skills?
I don't consider my English skills as the best one though consuming English contents consistently inasaidia,
Also kutumia English time to time like putting yourself into practice
 
Why apende kukaa na nyie while hampo like him ir why awe mnyonge mkiongelea such issues, do you know his story !. Do you think ni rahisi kwake!. I'm gay na sifanyi sex for money but reading this thread at this time of the night imeniumiza a lot
Pole sana ndo maisha uliyoyachagua no matter what intentionally or unintentionally usijute sana relax
 
Alafu huwezi amini kuna wasenge wanatoa bure hata siyo mpaka pesa.

Niliwahi tongozwa na shoga mwaka 2016 nikataka nimpeleke police
Ilinikuta miaka ya nyuma around 2012 nikiwa chuo pale tumaini university kipindi hicho bado ipo kinondoni campus ya Dar aisee baada ya masomo nikaenda kupata chakula kwenye mgahawa fulani nkakutana na kisanga kama chako, jamaa alikuja akiwa very humble nikajua ni gentleman akatoa hi akaomba akae kilichofata nilijuta kwanini niliruhusu stories days forward nikaja kutana nae tena kwenye sherehe ya msanii mmoja maarufu na mpaka sasa uyo msanii ni maarufu alikuwa anamtoa mwanae aisee nilimkuta yule gay akiwa na wenzake shazi na ile sherehe ilitawaliwa na wasenge kwa asilimia 70 nilisepa kinondoni hapana aisee 🙌🙌
 
Kusoma siyo kuelimika.

Anaonesha yeye na wewe mlienda shule kusomea ujinga.
Corporate with successful people until you become One of them.
Ungejua ni Namna Gani sa100 anamuamini DK gwajima
 
Corporate with successful people until you become One of them.
Ungejua ni Namna Gani sa100 anamuamini DK gwajima
= cooperate

Mama Samia ni walii, mcha Mungu sana, hakuna asiyemuamini, pia ni msamehevu na mstahamilivu sana, mpaka ayakoroge mara kumi au zaidi, tena kila unapokosea anaweza kukuelezea bila kelele wala kukutisha, kiutaratibu sana, unaweza kudhani unasifiwa kumbe unaaswa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…