Amina68
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 298
- 547
Habari wanajukwaa!
Kijana,usilie na ajira,beba vyeti vyako onana na waziri,(komaa nae) utaajiriwa, uoga wako ndio umaskini wako!
Njia hii unafanya kazi,na utapata kazi, siku zote usije jaribu kumtafuta waziri wa wizara ,ukamuomba pesa,
Wewe beba vyeti vyako nenda, siku hizi ajira ni huruma na sio sifa na umahiri Tena!
Best wishes(waziri kuku address kwa CS ni Rahisi zaidi)
Kijana,usilie na ajira,beba vyeti vyako onana na waziri,(komaa nae) utaajiriwa, uoga wako ndio umaskini wako!
Njia hii unafanya kazi,na utapata kazi, siku zote usije jaribu kumtafuta waziri wa wizara ,ukamuomba pesa,
Wewe beba vyeti vyako nenda, siku hizi ajira ni huruma na sio sifa na umahiri Tena!
Best wishes(waziri kuku address kwa CS ni Rahisi zaidi)