imma.one
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 542
- 37
Hallow jamii forum tanzania.
kampuni ya zenith Training inajihusishana mafunzo ya komputa na project tofauti inahitaji vijana wawili wenye uwezo wa kujieleza, kuongea kingereza, wenye kupenda kujiajiri,mbunifu na moyo wa kujituma kwa ajili ya kushirikiana nao kwenye project yao ya sasa na zijazo.
awe mkazi wa dar es aslaam umri kati ya 18-26.
mwanamke 1 mwanaume 1.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi:
Namba 0713-810857
Penda kujituma na sio kutumwa
tuko magomeni mwembechai jijini Dar es salaam.
kampuni ya zenith Training inajihusishana mafunzo ya komputa na project tofauti inahitaji vijana wawili wenye uwezo wa kujieleza, kuongea kingereza, wenye kupenda kujiajiri,mbunifu na moyo wa kujituma kwa ajili ya kushirikiana nao kwenye project yao ya sasa na zijazo.
awe mkazi wa dar es aslaam umri kati ya 18-26.
mwanamke 1 mwanaume 1.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi:
Namba 0713-810857
Penda kujituma na sio kutumwa
tuko magomeni mwembechai jijini Dar es salaam.