Ukweli ndo upo hivyo, mbali na mtazamo, hata Mhispanania mwenyewe hasumbuki kusoma maneno ya kiswahili,hili nimelijaribu mwenyewe.Mkuu unabisha tu lakini duniani lugha raisi kwa mswahili kujifunza ni Spanish na Italian. German na French ni lugha ngumu kuliko hizo mbili.
Anyways ni mtizamo wangu. Labda inategemea mtu na mtu.
hili ni sawa, ila bado ni lugha ngumu kuliko kihispania.Shule na hela ni maneno tuliyoazima kwa Wajerumani katika Kiswahili
Kweli mkuu. Mimi nimejifundisha mwenyewe Spanish (sijasoma shule/chuo chochote) na mpaka sasa nipo vizuri naweza kufanya mazungumzo na mtu yoyote tukaelewana.Ukweli ndo upo hivyo,mbali na mtazamo,hata mspanania mwenyewe hasumbuki kusoma maneno ya kiswahili,hili nimelijaribu mwenyewe.
Ile french ukiskiliza tu yale matamshi morali yote yakujifunza inakataKweli mkuu. Mimi nimejifundisha mwenyewe Spanish (sijasoma shule/chuo chochote) na mpaka sasa nipo vizuri naweza kufanya mazungumzo na mtu yoyote tukaelewana.
Sasa najifunza Mandarin na French.
Noma mkuu. Hiyo lugha inakata stimu mbaya asee. Inahitaji commitment ili uweze kui master.Ile french ukiskiliza tu yale matamshi morali yote yakujifunza inakata
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndipo hapo!Ninaposema Kijerumani ni Kiswahili baada ya kukifanyia tafiti kwa zaidi ya miaka miwili sasa.Hoja kubwa hapa hatujadili ufundi wa lugha,kwa sababu hata ingawa sisi tumezaliwa katika jamii ya wazungumzaji wa kiswahili lakini bado mfundi wa kiswahili ni wa kutafuta sana,hapa tunazungumzia urahisi wa lugha na lugha gani ambayo ni rahisi na yenye kufanania na kiswahili.
Mama(mama)Idd Ninga na G-less Antonopoulos , kila mtu aweke sentensi Kama 5 hivi (za kihispania na kijerumani, pia kwenye mabano jinsi ya zinavyotamkwa),wasomaji waamue wenyewe ipi inafanana na Kiswahili kwenye kusoma.
Zanzibar bado inalipa kwa kazi ya kuongoza watalii ? Najua porini (Arusha ilikuwa inalipa sana, tena sana ila watu wanabania sana kule, hawakupi pasi, Zanzibar haiko hivyo).
Huwezi linganisha urahisi wa kiswahili n kijerumani, ndio maana hata kule juu tukawa tumeweka baadhi ya maneno ambayo yanasomeka kirahisi kabisa kwa lugha ya kisapnia na kiingereza, bado tunasubiria maneno ya kijerumaniNdipo hapo!Ninaposema Kijerumani ni Kiswahili baada ya kukifanyia tafiti kwa zaidi ya miaka miwili sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli mkuu, Kitaliano asilimia kubwa unasoma kama Kiswahili isipokua kwa maneno machache sana. Hata majina ya Kitaliano mengi unasoma kiswahili.Kitaliano mswahili hawezi kusoma kama ilivoandikwa lakini Kijeruman unaweza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zote mbili naongea ,Ila sikuping kwako huenda nitofautSio kweli mkuu, Kitaliano asilimia kubwa unasoma kama Kiswahili isipokua kwa maneno machache sana.
Hata majina ya Kitaliano mengi unasoma kiswahili.
Hapa naona wote mko sahihi hata google inasema lugha zoote hizo ni rahisi kwa anae jua kiingereza tayari!! ila navoona waalimu wenu walifanya kila mtu akajua hizo lugha kirahisi!!Zote mbili naongea ,Ila sikuping kwako huenda nitofaut
Hola Tyrone Kaijage, ¿vienes de la región que está cerca de Uganda y Ruanda?Najua French fluent, najifunza Spanish sasa
Nilichoona:
1.Spanish ki matamshi asilimia kubwa sana ni kama Kiswahili.
2.Sheria za grammar kiasi ni kama Kifaransa
3.Ni lugha rahisi kujifunza kwa Mswahili
Hola Tyrone Kaijage, ¿vienes de la región que está cerca de Uganda y Ruanda?