Fafanua je ni eneo la watu mnataka kubadili matumizi iwe barabara? Je kuna barabara ila mnaiboresha kiasi cha kuathiri maeneo ya watu au ni kurekebisha barabara ila mnataka kutumia wanajikijiji kama vibarua sasa wanahitaji ujira japo hiyo barabara wataitumia wao