saidi yakoub
Member
- Nov 1, 2015
- 21
- 22
a)Kwa nini bondia kama floyd mayweather hajawahi kupigana na mabondia kama Anthony Joshua,Vladimir Klichko,David Haye,Amri Khan, David Chisola
b)Na huu mchezo huwa unapiganwa vipi maana katika hao wote utasikia ni bingwa wa dunia
Sent using Jamii Forums mobile app
b)Na huu mchezo huwa unapiganwa vipi maana katika hao wote utasikia ni bingwa wa dunia
Sent using Jamii Forums mobile app