Kijiwe Cha KAHAWA na Mambo yake!!

Kijiwe Cha KAHAWA na Mambo yake!!

Jumbe Brown

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2020
Posts
12,077
Reaction score
12,786
Unywaji wa KAHAWA hauleweshi na kuiondoa AKILI NA UTAMBUZI WA MWANADAMU.....

Unaweza kwenda kijiweni ukiwa na shilingi yako 100 kwa lengo la kupata KIKOMBE KIMOJA TU ilihali nafsi yako inataka kunywa VINGI....

Kama MWENYEZI MUNGU amekupa UCHESHI NA ULIMI FASWAHA WA KUNENA basi anzisha MADA inayovuta HISIA ZA WATU na uone kama hutasogezewa KICHUPA* ama FANTOM* 🤣🤣

1)KICHUPA

Ni chupa ndogo ya kuhifadhia vinywaji vya Moto ambayo huuzwa shilingi 500.Ndani yake huweza kuingia vikombe vya kahawa(vile vidogo) hata 12.

Sasa kumbuka umekwenda na shilingi 100 tu na "mdomo wako" ukakupa KICHUPA KIZIMAAA🤣🤣🤣

2)PHANTOM

Ni chupa kubwa(ya Kati) ambayo huweza kuingia hata vikombe vidogo 25 vya kahawa na huwa inanywewa kwa kushirikiana na wengine ila BINAFSI huwa ninaweza kuinywa peke yangu haswa STORI zikiwa zimenoga!!🤣🤣

SIGARA huuzwa kijiweni huko na vijiwe vingi hakuna masharti ya KUJITENGA PEMBENI ukitaka kuvuta SIGARA....Sigara huvutwa HAPOHAPO kuhanikiza STAREHE YA UTULIVU WA KAHAWA ikiwa inasambaa mwilini 🤣🤣

Ikiwa mnywaji wa KAHAWA havuti SIGARA ama ana mzio(allergy) na HARUFU PAMOJA NA MOSHI WA SIGARA basi atabaki kuwa "mnyonge" wa kushindwa kulalamikia HALI HIYO YA KUSAMBAZWA KWA MOSHI maeneo hayo 🤣🤣🤣

VIJIWE VYA KAHAWA hukaa watu wa kada na kaliba TOFAUTI ,kuna WASOMI was kiwango cha UDAKTARI hadi UPROFESA🤣🤣🤣

TUENDELEE KUBURUDIKA NA KINYWAJI CHETU PENDWA CHA KAHAWA!!!

#MnywajiKahawaVijiweMbalimbali
#AmaniUrafikiNaUpendoWaWatanzania

#KAZIIENDELEE
#TANZANIAKWANZA

16209864775702758116486102731111.jpg
 
Unywaji wa KAHAWA hauleweshi na kuiondoa AKILI NA UTAMBUZI WA MWANADAMU.....

Unaweza kwenda kijiweni ukiwa na shilingi yako 100 kwa lengo la kupata KIKOMBE KIMOJA TU ilihali nafsi yako inataka kunywa VINGI....

Kama MWENYEZI MUNGU amekupa UCHESHI NA ULIMI FASWAHA WA KUNENA basi anzisha MADA inayovuta HISIA ZA WATU na uone kama hutasogezewa KICHUPA* ama FANTOM* [emoji1787][emoji1787]

1)KICHUPA

Ni chupa ndogo ya kuhifadhia vinywaji vya Moto ambayo huuzwa shilingi 500.Ndani yake huweza kuingia vikombe vya kahawa(vile vidogo) hata 12.

Sasa kumbuka umekwenda na shilingi 100 tu na "mdomo wako" ukakupa KICHUPA KIZIMAAA[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

2)PHANTOM

Ni chupa kubwa(ya Kati) ambayo huweza kuingia hata vikombe vidogo 25 vya kahawa na huwa inanywewa kwa kushirikiana na wengine ila BINAFSI huwa ninaweza kuinywa peke yangu haswa STORI zikiwa zimenoga!![emoji1787][emoji1787]

SIGARA huuzwa kijiweni huko na vijiwe vingi hakuna masharti ya KUJITENGA PEMBENI ukitaka kuvuta SIGARA....Sigara huvutwa HAPOHAPO kuhanikiza STAREHE YA UTULIVU WA KAHAWA ikiwa inasambaa mwilini [emoji1787][emoji1787]

Ikiwa mnywaji wa KAHAWA havuti SIGARA ama ana mzio(allergy) na HARUFU PAMOJA NA MOSHI WA SIGARA basi atabaki kuwa "mnyonge" wa kushindwa kulalamikia HALI HIYO YA KUSAMBAZWA KWA MOSHI maeneo hayo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

VIJIWE VYA KAHAWA hukaa watu wa kada na kaliba TOFAUTI ,kuna WASOMI was kiwango cha UDAKTARI hadi UPROFESA[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

TUENDELEE KUBURUDIKA NA KINYWAJI CHETU PENDWA CHA KAHAWA!!!

#MnywajiKahawaVijiweMbalimbali
#AmaniUrafikiNaUpendoWaWatanzania

#KAZIIENDELEE
#TANZANIAKWANZA

View attachment 1784280
[emoji23][emoji23][emoji23]kwaio Kama Una 100 af mdomon Hawa Huna haki
 
Unywaji wa KAHAWA hauleweshi na kuiondoa AKILI NA UTAMBUZI WA MWANADAMU.....

Unaweza kwenda kijiweni ukiwa na shilingi yako 100 kwa lengo la kupata KIKOMBE KIMOJA TU ilihali nafsi yako inataka kunywa VINGI....

Kama MWENYEZI MUNGU amekupa UCHESHI NA ULIMI FASWAHA WA KUNENA basi anzisha MADA inayovuta HISIA ZA WATU na uone kama hutasogezewa KICHUPA* ama FANTOM* 🤣🤣

1)KICHUPA

Ni chupa ndogo ya kuhifadhia vinywaji vya Moto ambayo huuzwa shilingi 500.Ndani yake huweza kuingia vikombe vya kahawa(vile vidogo) hata 12.

Sasa kumbuka umekwenda na shilingi 100 tu na "mdomo wako" ukakupa KICHUPA KIZIMAAA🤣🤣🤣

2)PHANTOM

Ni chupa kubwa(ya Kati) ambayo huweza kuingia hata vikombe vidogo 25 vya kahawa na huwa inanywewa kwa kushirikiana na wengine ila BINAFSI huwa ninaweza kuinywa peke yangu haswa STORI zikiwa zimenoga!!🤣🤣

SIGARA huuzwa kijiweni huko na vijiwe vingi hakuna masharti ya KUJITENGA PEMBENI ukitaka kuvuta SIGARA....Sigara huvutwa HAPOHAPO kuhanikiza STAREHE YA UTULIVU WA KAHAWA ikiwa inasambaa mwilini 🤣🤣

Ikiwa mnywaji wa KAHAWA havuti SIGARA ama ana mzio(allergy) na HARUFU PAMOJA NA MOSHI WA SIGARA basi atabaki kuwa "mnyonge" wa kushindwa kulalamikia HALI HIYO YA KUSAMBAZWA KWA MOSHI maeneo hayo 🤣🤣🤣

VIJIWE VYA KAHAWA hukaa watu wa kada na kaliba TOFAUTI ,kuna WASOMI was kiwango cha UDAKTARI hadi UPROFESA🤣🤣🤣

TUENDELEE KUBURUDIKA NA KINYWAJI CHETU PENDWA CHA KAHAWA!!!

#MnywajiKahawaVijiweMbalimbali
#AmaniUrafikiNaUpendoWaWatanzania

#KAZIIENDELEE
#TANZANIAKWANZA

View attachment 1784280
Usiendekeze kahawa hufanya choo kuwa kigumu
 
Back
Top Bottom