Nilikuwa najua
Ndiyo maana hata sijataka kuanzisha Makapuku ya WhatsApp asiyeridhika kuchat hapahapa Chitchat basi tena tusitafutane hata PM
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sawa dadaWewe nae! Embu anzisha buana mimi nahamu ya kuchat grupuni
Utakua ni ki shemela cha shilawadu 😀Mimi natembezaga voicenotes na audio kabisaaaaa
Bebe pliiz...Usije ukazirusha zangu tafwazaliMimi natembezaga voicenotes na audio kabisaaaaa
aiseee rubi kumbe ndio maana ile siku ulikataa salamu yangu kisa nina macho mekundu daaaaKuonana face to face?
90% ya wanawake wa humu mashauzi natambo nyingi ila ni vibayaaa
Wakaka nao wanajifanya madon wajanja wa mjini ukikutana nae utashangaa
Hohehahe hawana mbele wala nyuma
Kuonana face to face?
90% ya wanawake wa humu mashauzi natambo nyingi ila ni vibayaaa
Wakaka nao wanajifanya madon wajanja wa mjini ukikutana nae utashangaa
Hohehahe hawana mbele wala nyuma
Hahah ila we mtu huwa una madongo...Mungu anakuona ujue rubii
aiseee rubi kumbe ndio maana ile siku ulikataa salamu yangu kisa nina macho mekundu daaaa
...lakini watu wa Jeiefu si ndio hao hao waliopo mitaani, au jeiefu inabadili tabia ya mtu anakuwa na swagg za kinyamwezi??!!teh! Mimi nasema ukweli tu!
...lakini watu wa Jeiefu si ndio hao hao waliopo mitaani, au jeiefu inabadili tabia ya mtu anakuwa na swagg za kinyamwezi??!!
Haha humus kila mtu tajiri na kasomaKuonana face to face?
90% ya wanawake wa humu mashauzi natambo nyingi ila ni vibayaaa
Wakaka nao wanajifanya madon wajanja wa mjini ukikutana nae utashangaa
Hohehahe hawana mbele wala nyuma
Kuonana face to face?
90% ya wanawake wa humu mashauzi natambo nyingi ila ni vibayaaa
Wakaka nao wanajifanya madon wajanja wa mjini ukikutana nae utashangaa
Hohehahe hawana mbele wala nyuma
Mimi natembezaga voicenotes na audio kabisaaaaa
Ohoooo watu wakifika jeiefu wanajivika udon, ucute, ushababi,full swagz kumbe ni watu wa hovyohovyo