Ohoooo watu wakifika jeiefu wanajivika udon, ucute, ushababi,full swagz kumbe ni watu wa hovyohovyo
Jf hakuna msichana/mwanamke mmbaya aisee,na hakuna jamaa maskini na hajasoma, jf raha sana
Huyo kwenye avatar ni ww wakati u mtoto?,safi umeongea ukweli mkuu...Mimi uwezo wangu wakawaida mfukon sikosi buku tatu kwenye tigo pesa yangu nna kama elfu 40 hivi,nnakibamia,sio handsome boy elimu yangu form four hapa inakuwaje humu ndichi mkuu hapanifai?
Huyo kwenye avatar ni ww wakati u mtoto?,safi umeongea ukweli mkuu...
Upande wangu me ni tajiri sana
...ila wapo madon, wacute, mashababy sema si unajua ktk msafara wa mamba kenge hawakosi
Haha humus kila mtu tajiri na kasoma
Kwani hyo picha kwenye wasifu wako ni yako mkuu?
Anhaa sawaMwenzangu!!!
Enzi za ujanaa
Inamana rubii wewe ni kikongwe now??Mwenzangu!!!
Enzi za ujanaa