Haha.. naamini kashatafakari na kuchukua hatua ya ku log off.Ondoa fikra butu kichwani mwako Simba SC hata iwe na wachezaji pungufu, Mkodisho FC hawawezi kupata ushindi
Labda kwa msaada wa Martin Sanya, na mkono wa Netball uwanjani, bila shaka unalijua hilo
Tafakari..!
Kujigamba kwakuwa mbele kwa points 4 ni uchizi wa kiwango cha juu, tena kukiwa na mechi kibao mbele! Angalia chart ya mfungaji bora utaona kichuya ana 9, msuva 9 tambwe 9 ina maana Yanga inawawili na simba mmoja na ngoma kwa mbali anakuja, kwa mwenye akili lazma ataelewa timu gani iko vzr.soka tunalotandaza linatosha sisi kujigamba.. haaaa
soka tunalotandaza linatosha sisi kujigamba.. haaaa
Umeona eeh! Maneno mengi kisa kuwa mbele kwa points 4Mkuu, hao ni SHILAWADU. Wanaongea balaa. Kuongoza ligi imekuwa nongwa mtaani hatunywi maji.
Kwa taarifa kwa suala la shule unganyamaza tuHiyo mada unayoizungumzia ni sharti ujue kuandika ili watu wakisoma waelewe ulichoandika. Kama hujui kuandika kwa mtiririko unaoeleweka hiyo mada tutaijadili vipi?
Mkuu.. Mwaka huu hakuna point za chee kwa timu yoyote ile, wataanzia wapi.? Madeni FC wanawapush timu ndogo wadai point ilhali wao makocha walikosa vibali, huku suala la Kessy nao inaamsha point ndio maana TFF wako kimya kuhusu hayo maigizo..!Kuna timu mbili zimekata rufaa kutaka ushindi wa mezani. Ushindwe kucheza mpira uwanjani utake ushindi wa mezani!!Mbona ushindi wa mezani hamna kwa wenzetu?Hivi mchezaji anachezaje bila kuwa na leseni ya TFF?Akiruhusiwa kucheza kosa linakuwa la nani?Njama za kubeba timu fulani kwani mianya ya kuathiri matokeo kupitia marefa imezibwa. Sasa watu wanatafuta ushindi wa mezani.
Bado upo shule?Makosa ya kiuandishi unayoyafanya ni ya kitoto hasa.Kwa taarifa kwa suala la shule unganyamaza tu
Narudia tena simba sio bingwa kwa namna yoyote ile, kuna point 6 tayari tunajua mnapozidondoshea na mkishadondosha basi msahau kabisaNarudia tena kwa HesabuKali tulizozichonga kabla ya msimu kuanza, kama hadi sasa hakuna aliyejaribu kutupa changamoto.. basi huu ubingwa tunauchukua asubuhi sana.
Ligi kuu inaisha mwezi wa 3.. kama ratiba ikifuatwa.. Sasa mkuu naona umepiga HesabuKali kua kipindi unaposataafu soka ligi itakua ishaisha.. na hadi inapoanza utakua ushatoka kifungoni.. Hongera kwa HesabuKali ulizopiga.
Swadakta Sheikh Yahaya. Na wewe lini utatajirika?Kwani inaelekea utabiri ni fani yako. Bandika matangazo unaweza pata wateja.Narudia tena simba sio bingwa kwa namna yoyote ile, kuna point 6 tayari tunajua mnapozidondoshea na mkishadondosha basi msahau kabisa
Utakuwa unahamu ya kuingizwa kidole si bureBado upo shule?Makosa ya kiuandishi unayoyafanya ni ya kitoto hasa.
Unganyamaza????
Kilugha kinanipa tabu. Unataka kuandika nini?
Kidole kaingizwa mama yako ukazaliwa wewe na mtindio wa akili ndio maana haueleweki.Utakuwa unahamu ya kuingizwa kidole si bure
Usiumize kichwa chako. Mimi sasa nina ignore post zake hata kama ameni-qoute.Utakuwa unahamu ya kuingizwa kidole si bure
Ni kusubiria embe chini ya mnazi...DarasaNarudia tena simba sio bingwa kwa namna yoyote ile, kuna point 6 tayari tunajua mnapozidondoshea na mkishadondosha basi msahau kabisa
Kujigamba kwakuwa mbele kwa points 4 ni uchizi wa kiwango cha juu, tena kukiwa na mechi kibao mbele! Angalia chart ya mfungaji bora utaona kichuya ana 9, msuva 9 tambwe 9 ina maana Yanga inawawili na simba mmoja na ngoma kwa mbali anakuja, kwa mwenye akili lazma ataelewa timu gani iko vzr.
Mama yangu amekujaje hapa? Tatizo la watu wenyewe ufahamu mdogo! Anyway sikushangai, tabia zako ni sawa tu nikiuita shoga, hahahaha! Yaani chakula cha wanaume wenzio!Kidole kaingizwa mama yako ukazaliwa wewe na mtindio wa akili ndio maana haueleweki.
Na mwenye mume wewe ana hasara sana maana ufahamu wako ni mdogo sanaWewe ukini ignore unanipunguzia nini?Kwani wewe mke wangu. Inferiority complex.
[QUNOTE="sembo, post: 19069120, member: 44652"]Nikiwa nishaanza shamra za kusherekea ushindi mzito wa leo wa Simba S.C dhidi ya Ruvu.. Nipo kijiweni na mashabiki wa Ndala wakiwa wamenyong'onyea.. Kisa.. Mkata Umeme!!
Nasikia wakijadili kauli ya Kocha wao.. Kua Ndala wawe na uvumilivu na Mkata Umeme.. kwani jamaa alikua nje ya uwanja kwa mda wa miezi 6.
Hawa jamaa wamejiuliza maswali haya, wakakosa majibu;
1. Kabla ya kumsajili, Je walifahamu kua kwanini jamaa alifungiwa kucheza soka kwa mda wa miezi 6?
2. Kama walifahamu, kwanini walimsajili mtu ambaye hakua uwanjani mda mrefu?
3. Inakuaje Mkata Umeme analipwa zaidi ya milioni 5 akiwa benchi.. Huku wanaowapa ushindi mkiwalipa laki 8?
4. Twite alitimuliwa kisa umri.. Je mna taarifa Mkata Umeme ni kinda la miaka 36?
Wakuu zangu Sibonike Belo Nifah Guasa Amboni demigod Nyenyere juan de otaru libeva Blank page Konaball Mwana Mtoka Pabaya Bailly5 babake nasreen Frank Wanjiru Ulimakafu bila kumsahau ndugu yenu Makoye Matale... naomba mnipatie majibu.. niwape hawa Ndala kindakindaki wenzenu.
Muhudumu fanya mambo haya mawili mda huu, kipindi nasubiri majibu;
1. Niongezee kinywaji
2. Ongeza sauti ya huo wimbo... "... ama kweli wajinga ndo waliwao.. kekundu.. kekundu.. kekundu... ".
Mkuu, hao ni SHILAWADU. Wanaongea balaa. Kuongoza ligi imekuwa nongwa mtaani hatunywi maji.
Narudia tena simba sio bingwa kwa namna yoyote ile, kuna point 6 tayari tunajua mnapozidondoshea na mkishadondosha basi msahau kabisa