Kijuso vs Aje remix ipi video kali ?

Wengine hatujaziona bado ziweken hapa
 
Nyimbo ya mary u ya mondi ina siku 15 tu kwenye account mpya ya imeshaipita kajiandae mbali sana kwa view walisema sana nyimbo imebuma akuna ujanja ujanja vevo bado mondi anawashikisha magoti kila siku
 

Kwakweli Kiba katoa video mbaya isiyoendana na ukubwa wa hiyo ngoma yake, ila upande kwa upande wa Diamond hii ngoma ya marry you nadhani amekosea muda wa kuitoa.Atatumia hela nyingi sana kuwakubalisha wapenda muziki kusikiliza hiyo ngoma,especially msimu huu ambao soko lina ngoma mpya nyingi na kali.
 
OK,watu wamezoea magari ya ghali,rangi za kutosha ndio mseme video ni nzuri!!
Na kama mmegundua sasa hivi ,video zilizo faint ndizo zilizo kwenye trend
Mfano,1.daddyo ya [HASHTAG]#wizkid[/HASHTAG],2.do like that ya [HASHTAG]#koredebello[/HASHTAG],,pia kuna wimbo mmoja WA [HASHTAG]#runtown[/HASHTAG] wenye muonekano ama mfanano WA hivyo(faint colours kne video)
Nisielezee sana,,ila huwezi kulinganisha Ajeremix ya alikiba na kijuso ya rayvanny hata kidogo,,mkiulizwa sababu,bila shaka rangi ya video itakuwa ya kwanza kutajwa!maana wcb ni watu WA kukoleza rangi kwenye video zao,ref.Salome,natafuta kiki,bado ya harmonize nk.!!
Labda hitilafu kidogo iliyopo japo haina madhara makubwa ni kukosekana kwa M.I kwenye video!otherwise video iko poa sana!!hususan mwanzoni mwa video ,wamekuwa wabunifu sana,dances pia ziko on point
N.Bv,,video director wa aje original of which mliiponda sana (Meji Alabi-Mnigeria)ndiye huyo huyo aliedirect [HASHTAG]#ajeremix[/HASHTAG],na kama mtakumbuka kwenye tuzo za soundicity za Nigeria Aje ilinominatiwa kama video bora ya mwaka na ilishinda huku ikichuana na pana ya#tecno,babanla ya#wizzie,,ni Nigeria na sio Tanzania mkumbuke.!!kuponda huu wimbo wa aje hamjaanza Leo,ni kuanzia kwenye original song mpaka sasa kwenye remix!!
Niseme tuu,tumewazoea kiukweli.
.poleni kwa maandishi mengi
 
Kumbe tuzo za Nigeria mm nikafikiri bet
 
Namwelewa sana kiba....
..napenda jitihada za mond.....namheshimu sana Ngosha......Ntaumia mwana fa akiacha mziki.....siioni hip hop laini ya kuvutia km ya joh makini....napenda kuskia belle9+Barnaba+BenPol+Jux kila siku......naukosa ukweli toka kwako mpoto+Roma+bonta+kala n.k
.......
Wasanii wote wetu hakuna anaejua zaidi ya mwingine ila kila mtu na njia anayoamini.....Msifosi wafanane Tutakosa radha
 
Hahahaaa,umenichekeshaaa!ghafla umehamia kwenye tuzo!!!anyways,umeelewa
In short aje remix haina kitu kipya cha kusismua kuanzia audio adi video ni yale yale tu....naipa wiki moja tu tuanisahau
 
Sasa mnabishana nini? Nahisi hii thread wana comment form 3-4
 
In short aje remix haina kitu kipya cha kusismua kuanzia audio adi video ni yale yale tu....naipa wiki moja tu tuanisahau
,hata aje original mliipa week,,,remember???lakini iliendelea kubamba kwa muda mrefu tuu,,Ok,unasema kijuso ni kali,hahaha,wimbo ambao hujui ni wapi kaimba rayvanny na ni wapi kaimba queen Darleen??kweli [HASHTAG]#mapenziupofu[/HASHTAG]
 
,hata aje original mliipa week,,,remember???lakini iliendelea kubamba kwa muda mrefu tuu,,Ok,unasema kijuso ni kali,hahaha,wimbo ambao hujui ni wapi kaimba rayvanny na ni wapi kaimba queen Darleen??kweli [HASHTAG]#mapenziupofu[/HASHTAG]
Mkuu hawa wamezoea video zenye mimwanga ya kung'aa kama series za kikorea......waangalie Hello ya Adele rangi ya video yake na kabeba grammy za kutosha
 
,hata aje original mliipa week,,,remember???lakini iliendelea kubamba kwa muda mrefu tuu,,Ok,unasema kijuso ni kali,hahaha,wimbo ambao hujui ni wapi kaimba rayvanny na ni wapi kaimba queen Darleen??kweli [HASHTAG]#mapenziupofu[/HASHTAG]
Sijasema kijuso ni kali au hujaisoma vzur comment yangu.....ukiwa shabiki wa msanii utapenda tu nyimbo zake hata akitikea kaimbo utumbo utaushabikia tu.....kwng kijuso ni moja ya nyimbo mbaya kwa muda huu
 
Wengine video Kali mpaka waone magari na rangirangi. Hawajui maana ya creativity. Kiba kaamua kutoa video ya tofauti na tulivyozoea (magari) ndio maana mnaona mbaya! Kwa upande wangu video ya kiba ni nzuri na ameonesha utofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…