Kikao cha familia leo

Kikao kimeazimia watu wa Dar wakae karantini kwa gharama za mkuu wa Mkoa. Unatoka na container yako ya chakula kwenda kuchukua chakula kwenye mgahawa wowote ulio mtaani kwenu, wenye migahawa watalipw na RC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…